mfarisayo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 5,160
- 2,004
Agent wa Kagawa kasema bado hana match fitness. Alisema hivyo kujibu speculations zilizoenea kwamba Kagawa anatakiwa kurudi BvB.
Ila tunahitaji Box to box midfielder. Herrera ama Fellaini watatufaa kama wakija.
Mawinga ndo wanazingua zaidi, hawapigi kabisa cross za maana