Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakuna cha Inzi wala Belo ...... . . . khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Mfarisayo anafanya maombi na Eqllypzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz Invisible kajichimbia kwenye FB ngebe zote kwishnei ... ..... ... Belinda ndio kabisa humuoni hata Mentor ing I d i o t s na Peas of ants hawatatokea leo phew!
 
Leteni matokeo jamani wengine tunafuatilia tennis hapa Nadal anafanya vitu vyake .... ....
 
Hakuna cha Inzi wala Belo ...... . . . khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Mfarisayo anafanya maombi na Eqllypzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz Invisible kajichimbia kwenye FB ngebe zote kwishnei ... ..... ... Belinda ndio kabisa humuoni hata Mentor ing I d i o t s na Peas of ants hawatatokea leo phew!

Nitamwita Benteke sasa.....naona fujo zinazidi.
 
Timu ipo vizuri...ila creativity inahitajika zaidi katika midfield.
 
Well done rooney ilikuwa game ngumu kwake ila amecheza kwa ukomavu wa hali ya juu na amenonesha kiwango chake
 
Timu ipo vizuri...ila creativity inahitajika zaidi katika midfield.

Wacha pumba mmezoea ku-park bus, lini mlijifunza kutandaza soka. Kazi wanayoijua Manure ni ushoga zaidi na leo wauza unga ndio kwanza wamepark ikalus kumba kumba chijui mtapita wapi. Fungie alichukua brown envelopes zote kabla hajaondoka khe khe khe khe khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeee Leteni matokeo jamani khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Karibuni muangalie mazoezi ya Gunners kesho pale Emirates khe khe khe khe ke keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtajijuu.


BTW kwa masikitiko makubwa nitakuwa sipo jukwaani hadi mechi ikiisha msilete fujo zenu tu ..... ..... muangalie soka jinsi linavyochezwa sio la kubahatisha na kutegemea ngawira.
 
Wacha pumba mmezoea ku-park bus, lini mlijifunza kutandaza soka. Kazi wanayoijua Manure ni ushoga zaidi na leo wauza unga ndio kwanza wamepark ikalus kumba kumba chijui mtapita wapi. Fungie alichukua brown envelopes zote kabla hajaondoka khe khe khe khe khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeee Leteni matokeo jamani khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Kweli. Tumezoea kupaki basi mpaka basi likawa na ghorofa 20; nini ikalus sijui...
 

Attachments

  • 4c3d882fb6e2b78543841d37aaa83771.jpg
    4c3d882fb6e2b78543841d37aaa83771.jpg
    51.7 KB · Views: 94
Karibuni muangalie mazoezi ya Gunners kesho pale Emirates khe khe khe khe ke keh kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtajijuu.


BTW kwa masikitiko makubwa nitakuwa sipo jukwaani hadi mechi ikiisha msilete fujo zenu tu ..... ..... muangalie soka jinsi linavyochezwa sio la kubahatisha na kutegemea ngawira.

Wewe si size yetu size yako Spurs ,mshamrudisha Flamoney
 
Wacha pumba mmezoea ku-park bus, lini mlijifunza kutandaza soka. Kazi wanayoijua Manure ni ushoga zaidi na leo wauza unga ndio kwanza wamepark ikalus kumba kumba chijui mtapita wapi. Fungie alichukua brown envelopes zote kabla hajaondoka khe khe khe khe khe khe khe eeeeeeeeeeeeeeeee Leteni matokeo jamani khe khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wanaopaki basi ni hawa:
 

Attachments

  • 042ba236e521137ab29b2dfe79d83b70.jpg
    042ba236e521137ab29b2dfe79d83b70.jpg
    9.8 KB · Views: 313
Utakufa kwa presha kijana. Kwani Mourinho ni nani wa dunia hii? Tulimchakaza 2008 makombe yote mawili, la Ligi na UEFA Champions akiwa na timu hii hii aliyo nayo sasa. He knows the Red Devils
CC, Belo, Wacha1, Ngongo, Manda, TCleverly



Wewe pamoja na hao wote waliokupa "like" ni aidha wazushi wakubwa au upeo wenu na ufahamu wa mambo ya soka ni kidogo sana. Jose Mourinho aliondoka Chelsea September 2007 muda mfupi tu baada ya draw ya 1-1 na Rosenborg BK kwenye hatua za makundi za UEFA Champions League. Sasa hiyo 2008 unayosema ni Mourinho yupi hasa? Tujuze ndugu yetu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom