Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man U kamuonea wivu City.

Maguire leo kajitahidi.

Katoa assisst goli la kwanza.

La Tottenham.
 
Nashukuru hazikufika huku mkuu ungetusumbua sana kashinda spurs unatuma vidole tu View attachment 1590356
JamiiForums2122872811.jpg
 
Kwani Ole hajapata mabeki?

Hapana usajili wa maguire ulitokea baada ya bailly kuumia kwenye pre season ilikuwa bado wiki moja dirisha kufungwa ikabidi wamuangalie maguire haraka kuziba nafasi yake bailly tunaweza kusema usajili wa kukurupuka ndio huu unaofanyika tena cavan,telles toka mwez wa 5 walikuwa na muda wa kufanya sajili na kuwaaangalia wachezaj makin lakin mwishon ndio wanakurupuka
 
Nna wasiwasi Man utd shida sio usajili,nahisi kuna tatizo kubwa sana zaidi ya wachezaji na kocha,kuna shida zaidi ya hapo,nna wasiwasi ule uswahili wa kupangiwa kikosi kama ilivyo hapa bongo,nna wasiwasi sana na uongozi kuhusu mikataba ya wachezaji ndo maana hawachezi kwa morali.
Nna wasiwasi sana na uongozi,huenda sio watu wa FOOTBALL,na nafika mbali kuhisi hata salary na mikataba mingine ya players...
Hata akija messi,neymar,davies,sancho kwa wachezaji baaaado.
Hata akija Klop,potechino,zidane,Guardiola kwa makocha nadhani bado kutakua na shida.
Inaonekana makocha wote (moyes,van gaal,mourinyo,na ole) hajawah kuwa motivated baada kuja man utd.
Kuna shida.........
 
Nna wasiwasi Man utd shida sio usajili,nahisi kuna tatizo kubwa sana zaidi ya wachezaji na kocha,kuna shida zaidi ya hapo,nna wasiwasi ule uswahili wa kupangiwa kikosi kama ilivyo hapa bongo,nna wasiwasi sana na uongozi kuhusu mikataba ya wachezaji ndo maana hawachezi kwa morali.
Nna wasiwasi sana na uongozi,huenda sio watu wa FOOTBALL,na nafika mbali kuhisi hata salary na mikataba mingine ya players...
Hata akija messi,neymar,davies,sancho kwa wachezaji baaaado.
Hata akija Klop,potechino,zidane,Guardiola kwa makocha nadhani bado kutakua na shida.
Inaonekana makocha wote (moyes,van gaal,mourinyo,na ole) hajawah kuwa motivated baada kuja man utd.
Kuna shida.........

Kwanza walikosea sana kutokumuuza pogba kipindi kile katangaza anataka kupata changa moto mpya hii itawagharimu sana wale wenye mamlaka
 
So unataka kumlaumu nani pale PTER ukianza lawama utaonekana hujui mpira mkuu nakuheshimu sn, tm nzima leo ilifeli baada ya controversial red card ss uta mjudge nani mkuu.
Kabla ya red card defence ilikuwa imefanya errors leading to a goal tatu.

Tumefungwa kwa sababu ya sloppy defending 3 clear goals za centreback errors

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom