radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Probably wameshindwa kusajili kwa sababu imejengeka kuwa United wanatumia pesa nyingi kusajili hovyo hovyo.
Kama timu nyingine yoyote ingemtaka Jadon Sancho ingeweza kumpata chini ya milion mia but kwa sababu ni united lazima borussia wawe bold.
Tumetengeneza precedent ya kupigwa kwenye transfer Market hatuwezi kuiondoa hii hali kirahisi labda tuamue kuimarisha academy yetu.
Sokoni tunapigwa sana katika mazingira ambayo timu zingine ingeweza kumpata mchezaji kwa bei rahisi tu.
Huenda recruitment department yetu imejaa washamba kwenye transfer market.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na ww hapa kwa 100%

bbc.in/33nJTEi #bbcfootball #CFC