Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli mkuu inawezekana Laissez Faire inatumika kwa ole kuwaambia wachezaji wajichague first eleven had wachague wanachezaje
Hili ni tatizo kubwa sana kwa timu inavyobehave ni kama haina kiongozi.

But hili tatizo hata bodi ya Man United kwa sasa ni kama haina ambition zozote hivyo kwa vyovyote vile madhaifu ya bodi yameshaathiri timu nzima.
 
Anaetakiwa kupanga kikosi ni kocha na sio Ed.

Wachezaji kucheza vibaya ni kocha na sio Ed.

Unamuuza Lukaku ukisema Rashford na Martial wanatosha, baada ya msimu mmoja unataka mchezaji wa kuziba hiyo nafasi.

Wachezaji wengi wameshuka viwango. Sio kosa la Ed wala Glazers.
aiseeeee hata bruno ameshuka sana kiwango tena uzuri mechi za mapema tu tumeshaanza kuona hakuna la maana huko mbeleni tunaweza fanya............sosha hamna kitu mule
 
SEMA WAHESHIMIWA TUACHE UTANI,KLOP ANAFANYA KAZI KUBWA SANA

✓Sajili zake ni za kukacover gaps na zinaonyesha uhai wa kufa mtu

✓Timu yake inacheza kwa nidhamu na work rate isiyo ya kawaida..90mins watu wanapress kama hawana akili timamu

•••

Nawaona wakichukua EPL back to back
 
SEMA WAHESHIMIWA TUACHE UTANI,KLOP ANAFANYA KAZI KUBWA SANA

✓Sajili zake ni za kukacover gaps na zinaonyesha uhai wa kufa mtu

✓Timu yake inacheza kwa nidhamu na work rate isiyo ya kawaida..90mins watu wanapress kama hawana akili timamu

•••

Nawaona wakichukua EPL back to back
Hapa kwenye kuchukua EPL back-to-back ndiyo panaponichosha, United hatuna tena nguvu ya kuendeleza uhasimu wetu na Liverpool. Old Trafford kimekuwa kiwanja cha kawaida tu hadi kwa timu kama Crystal Palace.
 
Habari zilizotufikia hivi punde, andreas pereira amepelekwa kwa mkopo katika club ya lazio nchini italy kwa kipengele cha kununuliwa jumla. Club ya Man Utd wanataka kumuuza jumla kwa dau la £27 millions.
Chris smalling nae analilia dili lake likamilike kuelekea club ya Roma nchini italy, mazungumzo ya dau la kununuliwa yanaendelea.
Safisha inaendelea taratibu kwa umakini.
 
SEMA WAHESHIMIWA TUACHE UTANI,KLOP ANAFANYA KAZI KUBWA SANA

✓Sajili zake ni za kukacover gaps na zinaonyesha uhai wa kufa mtu

✓Timu yake inacheza kwa nidhamu na work rate isiyo ya kawaida..90mins watu wanapress kama hawana akili timamu

•••

Nawaona wakichukua EPL back to back
jana aseno mpaka halftime shot on target sifuri iyo ball possess ndio balaa 70 kwa 30.......waliloa mbaya
 
SEMA WAHESHIMIWA TUACHE UTANI,KLOP ANAFANYA KAZI KUBWA SANA

✓Sajili zake ni za kukacover gaps na zinaonyesha uhai wa kufa mtu

✓Timu yake inacheza kwa nidhamu na work rate isiyo ya kawaida..90mins watu wanapress kama hawana akili timamu

•••

Nawaona wakichukua EPL back to back
Ukweli mchungu!
 
@manutd
IMG_20200929_155111_891.jpeg
 
tumeongezewa mlinzi wa kushoto alex telles
Si bado hawajafikia makubaliano ?

Hivi Alex Telles tunamhitaji kweli au ni kwasababu tunahitaji kusajili tu ?

Kama tulitakiwa kusajili fullback awe right back walau kutupa option ya kucheza wide kutokana na Bissaka kushindwa kufanya jukumu hilo.

Au tunajiandaa kumtoa kwa mkopo Brandon William's tena ?

Mapungufu yetu ni attacking upande wa kulia ili tupate threat pande zote mbili za uwanja.
 
★The Athletic | Brighton are among the admirers for Daniel James. Graham Potter would relish a reunion but the expectation is that MU will decide to keep him with the player determined to fight for his place.★




manutd |
 
Si bado hawajafikia makubaliano ?
wametuma offer kwa mara ya pili,
Hivi Alex Telles tunamhitaji kweli au ni kwasababu tunahitaji kusajili tu ?
beki 3 wa kiwango cha juu tunamuhitaji ila kukosekana kwake si pigo kubwa (tunaweza kuangazia eneo jengine), isitoshe huyu jamaa tuna uwezo wa kumsajili bure miezi mitatu ijayo ndio maana klabu inasita kulipa kiwango kikubwa cha fedha
Kama tulitakiwa kusajili fullback awe right back walau kutupa option ya kucheza wide kutokana na Bissaka kushindwa kufanya jukumu hilo.
kwa Ole kusajili right back mwengine ni sawa na kujitukana mwenyewe, dunia hii ni wanadamu wawili tu ndio wenye jeuri ya kufanya hivyo (mourinho na guardiola)
 
Back
Top Bottom