Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
YeahNoted, hapo nimekuelewa kwahilo swala la International qualification.
YeahNoted, hapo nimekuelewa kwahilo swala la International qualification.
Mkuu kwanza si kila Academy player lazima acheze Man Utd, ni historia ya man Utd kuhakikisha hawa watoto wanapata Timu wakikosa nafasi Man UTd.sio jambo baya ila mkuu unakumbuka solskjaer alisema nini kuhusu academy players pia kitu pekee ambacho kingempa Ole credit na angalau sisi kusema abaki mi endapo angetumia na madogo kwa kuwachanganya na experienced players....
.huko walikoenda hawaendi ongeza viwango zaidi ya kusaidia timu hizo ndogo refer timu aliyoenda Chong refer Dylam levitt hawatarudi wakiwa bora kwa maana hizo timu hazina wachezaji bora watapata tu playing time na si kuwa well trained tactically
Tatizo Ole hana hizo quality za kuwa na hizo option zote.na ndio tunachokipigia kelele humu kila siku, na ole tayari analijua hilo.
1. aje sancho ili tusiwe predictable, unapokuwa unatengeneza kushoto, kulia, katikati hata timu pinzani inakuwa ngumu kukamia.
2. usajili wa VDB pia unalenga kutoa plan B ikiwa plan A imeshindikana, na tumeanza kuona mfano mechi ya Palace.
Ni kweli mkuu so solskjaer hajatimiza ahadi yake ya kutumia na kuibua academy players sindiyo? Maana kwa hawa Greenwood,Mengi,Gomez,Chong,Levitt na garner, Hannibal ndio the best academy players ila ni greenwood tu amepenya sababu hakuna mtu anayederiver pale no 7 pia wengine ndo wameondoka na wengine kwa mkopo....(Hannibal hupo academy huyo ni too early kumpa nafasi)nimemtumia kutaja kipaji chakeMkuu kwanza si kila Academy player lazima acheze Man Utd, ni historia ya man Utd kuhakikisha hawa watoto wanapata Timu wakikosa nafasi Man UTd.
Na pia mkopo hukomaza Sana wachezaji na wakipata Nafasi unajua Mbivu na Mbichi, mfano Mzuri ni Huyu dean henderson na Shefield wednesday.
Kuna Academy Players wengi tu wapo Kikosi cha kwanza Karibia Kila Namba, tunaweza Panga 1st eleven ya academy Players tupu, na ikacheza Mechi. Hivyo ambao wapo mbali kwenye picking order inabidi waondoke kwa mkopo, waka prove sehemu nyengine kwamba wana Viwango vya kuchezea United.
Mkuu naona tunamawazo sawa Plan B hana kabisa zaidi ya ku ahatisha yani anakuwa predictable sana hata mtu unaweza soma sub atakayopiga... Sub zenyewe siku nyingine tumezidiwa anapiga sub zakika ya 83 au 87Tatizo Ole hana hizo quality za kuwa na hizo option zote.
Kimbinu Ole ni mweupe, anatembelea uwezo wa wachezaji na sio kwamba yupo smart.
Sancho akija ni sawa na alivyokuja Bruno. Baada ya msimu anakuwa average kama Bruno.
Sancho atakuwa Wa kawaida sana,sioni kama Ole ana sifa za kuwa mwalimu Wa kuifikisha Man U tunapotaka au tunapowaza!na ndio tunachokipigia kelele humu kila siku, na ole tayari analijua hilo.
1. aje sancho ili tusiwe predictable, unapokuwa unatengeneza kushoto, kulia, katikati hata timu pinzani inakuwa ngumu kukamia.
2. usajili wa VDB pia unalenga kutoa plan B ikiwa plan A imeshindikana, na tumeanza kuona mfano mechi ya Palace.
Hana pa kujificha tena mana hata akijificha kwenye kivuli cha team building hatoeleweka mana ni wimbo Wa muda mrefukwamba mkuu wachezaji kutolewa kwa mkopo ni jambo baya? hawa wa academy?
Msimu huu.
Kama tulivyoongea hapo juu mkuu, tatizo ni fitness level tu.Sasa Pogba ameshakuwa too average.
Kocha amekosa mbinu za kumtumia. Bruno nae akishakuwa kama Pogba tutahamia kwa VDB. Baada ya hapo?
Ila mpeleke Pogba Liverpool utaona majibu yake.
Kuwapa Nafasi Academy players sio lazima wampokonye namba 1st team players.Ni kweli mkuu so solskjaer hajatimiza ahadi yake ya kutumia na kuibua academy players sindiyo? Maana kwa hawa Greenwood,Mengi,Gomez,Chong,Levitt na garner, Hannibal ndio the best academy players ila ni greenwood tu amepenya sababu hakuna mtu anayederiver pale no 7 pia wengine ndo wameondoka na wengine kwa mkopo....(Hannibal hupo academy huyo ni too early kumpa nafasi)nimemtumia kutaja kipaji chake
Sio VAR kuna baadhi ya sheria zimefanyiwa marekebisho ikiwemo ya mchezaji kushika ,msimu huu penati zitakuwa nyingi sana kutokana na hayo mabadiliko so kila mtu itafika zamu yakeHii VAR ni ya kijinga sana, imemzamisha Morinho mchana kweupe
Ikifika December nitakukumbusha ninachomaanisha.Kama tulivyoongea hapo juu mkuu, tatizo ni fitness level tu.
Chukulia mfano Pogba tumemaliza Msimu, Ameumwa Corona alivyopona Ligi imeanza, Hata mazoezi hana unategemea nini?
Hebu tuangalie kwa Mifano Finalist wa Ulaya Msimu uliopita.
1. UEFA NI Bayern na Psg.
-Psg kafungwa mechi mbili mfululizo, kikawaida kwenye ligi yao ya wakulima ni Nadra PSG kufungwa nini kimempata?
-ninavyoandika Hapa Bayern kashatandikwa 3 mechi inaendelea kwanini?
2. Europa Sevilla na Inter
-Sevilla kapoteza Mechi 2 zilizopita kapigwa mpaka na Bilbao
-inter kacheza mechi 1 tu Serie A ameshinda ila tayari Ameruhusu Goli 3
Semi finalist kuna
-lyon mechi 4 zilizopita kashinda moja tu
-Rb lepzig mechi 4 kashinda 2 tu
-shaktar mechi 3 zilizopita kashinda 1 tu.
Je mkuu ni coincidence hii? TIMU ZOOOTE zilizofika Nusu ama Fainali ya Mashindano ya Europa ama EUFA zinafanya vibaya?
Jibu ni Rahisi tu, Fitness level ni Ndogo, wengine wamepumzika muda mrefu na Kujiandaa, waliofika mbali Uefa wamepumzika muda mfupi na hawajajiandaa.
tutunze hii comment mkuuIkifika December nitakukumbusha ninachomaanisha.
Tangu msimu uliopita nimeona jinsi wachezaji wanavyocheza.
Wameendeleza the same style of playing.
watakuelewa tuhaya Man city Nae huyo, bado tu ni Coincidence Timu zilizoshirki mashindano ya ulaya kufanya vibaya?