Mkuu Man united unatuletea story za vikombe vya chai ?Mna FA ngapi mkuu?
Ukishindwa kujibu hilö, kwa heshima na unyenyekevu edit comment yako na ufute maneno 'kila kitu' wala usijihisi aibu na unyonge huo ndio uungwana na ukomavu, na sisi waungawana tutahesabu tu umeteleza kijana.
Kwa hiyo 'kitu' maana yake nini?Mkuu Man united unatuletea story za vikombe vya chai ?
Ona hata aibu basi
Rashford,martial ni wingers sio natural strikers..hilo ndy tatizo letu man u,,kugeuza winger kuwapa mikoba ya strikerPia wengine ni wazuri ila ni wapuuzi pengine ni kutokana na ubora mdogo wa kocha wachezaji km
Rashford
Martial
Linderlof.. huenda co wabaya isipokuwa kocha huenda hawezi kuwafanya waonekane ni killers, imefika kipindi hata pogba anaonekana hovyo kabisa.
Tena umesahau na Damian babatov kwenye strikers.Hapa napo umerudia kuwa Ferguson alikuwa na squad mbovu kuliko sasa hivi unataka nionyeshe nini wakati wewe mwenyewe umesema.
Hivi striking force ya
Van Persie, Wayne Rooney, Chicharito na Dany Welbeck ni mbovu kuliko striking force ya Rashford, Martial, Greenwood na Ighalo ?
Je defence force ya
Nemanja Vidic, Rio Ferdinand, Chris Smalling Patrice Evra, Rafael Da Silva na Fabio Da Silva iko sawa na hii ya kina Lindelof, Maguire na mgonjwa Bailly ?
Kwenye midfield ya
Darren Fletcher, Paul Scholes, Ryan Giggs, Antonio Valencia, Shinji Kagawa, Michael Carrick, Jisung Park utalinganisha na hii midfield ambayo ikipiga pass mbili lazima ipoteze mpira ?
Dimitar BerbatovTena umesahau na Damian babatov kwenye strikers.
Man u ile ndy ilikiwa na spirit ya feggy times..na sio hii ya sasa
Vipi kuhusu Pochettino na AllergiKweli kabisa lkn pia hata Diego Simeone anafaa kuchukua hii kazi.
Msimu wa mwisho wa Ferguson Berbatov hakuwepo mkuu.Tena umesahau na Damian babatov kwenye strikers.
Man u ile ndy ilikiwa na spirit ya feggy times..na sio hii ya sasa
Vipi kuhusu Nuno Espirito Santo au Gian Piero Gasperin au Gareth Southgate ?Vipi kuhusu Pochettino na Allergi
Rashford,martial ni wingers sio natural strikers..hilo ndy tatizo letu man u,,kugeuza winger kuwapa mikoba ya striker
Mabeberu muda mwingine hayakwepekiKwani kuna ulazima wa kuwepo picha ya ayo mabeberu GLAZERS apo juu ? Yananikera tu.
As #MUFC struggle to sign reinforcements, nobody should underestimate effects of a pandemic that has denied them at least £35m in matchday revenue. But the Glazer regime has cost them £1.5bn over past 15 yrs, causing more damage than a pandemic ever could
Gasperin wa wapi?Vipi kuhusu Nuno Espirito Santo au Gian Piero Gasperin au Gareth Southgate ?
teh teh tehMzee Hahahaha umeamua kabisa kuweka pundamilia kwenye avatar noma.
Ukichungulia mishahara ya manutd na ukalinganisha na Luton utasema huu ni wizi wa wazi
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Damian babatovTena umesahau na Damian babatov kwenye strikers.
Man u ile ndy ilikiwa na spirit ya feggy times..na sio hii ya sasa
Adimu sana mkuu?Rashford ni natural center foward sio winga
Adimu sana mkuu?