NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,697
Kitu gani unahisi kitatunyima ushindi?Kesho tukijitahidi sana ni droo
Psycholojia ya wachezaji wetu naona hawatakua na +ve motivation.Usiniulize kwanini (hahaha)Kitu gani unahisi kitatunyima ushindi?
Crystal Palace wamekuwa bora sana au?...
sidhani kama wametuoneaTottenham wanawaonea sana aisee.
Sajili mbili zote mlikua na uhakika nazo kaziingilia kibabe.
Akili huna wewe watu wanakupotezea washakuona chiziSiku nyingi sana sijawakera nyie PUNDA aka NYUMBU kama NYUMBU
Sawa Front 3 yetu ina goli nyingi lakini kumbuka wao baadhi ya magoli mengi wamefunga mabeki na viungo tofauti na sisi kwaiyo kimsingi.ruralofficer,
Ukiweka ushabiki kando sisi tulifanya vizuri sana kuanzia raundi ya pili msimu ulioisha kuliko timu yoyote ile pale Uingereza na hata wachezaji wetu ktk kila idara waliperform vizuri sana raundi ya pili kuanzia nyuma, kati mpaka mbele. Sisi tuliangushwa sana na majeraha. Timu nyingi sana kwa sasa zina ubora wa kawaida sana ukilinganishana na sisi.
Sioni u-special wowote ule kwa Liverpool kutushinda sisi. Kama wao wamebeba EPL kwa nini sisi tushindwe? Na usisahau front 3 yetu ilimaliza na goli nyingi kuliko wao. Na hata defence sisi tulifungwa goli tatu pungufu yao.
SanchONThings you love to hear!!!
Klabu ya Borussia Dortmund imefikia makubaliano na Manchester United kuwa Jadon Sancho ni Muingereza na thamani yake ni Paundi milioni 108.
Source(s):
Dude trust meView attachment 1573692
Ole anatakiwa kuonesha uwezo wake msimu huu.kocha wetu nae hayupo katika mbinu kubwa za kiufundi na kiuwezo kuinoa club kubwa kama utd, najua kuna watu wanalipinga ili ila litaonekana tu
Kuwa watatu ni mafanikio makubwa kwake.Fan frustration on transfers
“Fans will always want the best possible team to watch, the best possible Man United team and that’s the passion we want and the history we have. We can look back 10 or 20 years and you look back at the great players we have and, for me, going forward, since Sir Alex left we’ve been averaging fifth, last season we got third which was a big step forward, everyone saw development, Bruno coming in, Harry being captain and showing leadership skills, Aaron did well, we want to take a step forward and we can go into the new season with confidence but we’re looking to give the group a boot and we’re working on it.”
===============
Ole amekuwa hana utofauti na muajiriwa wa serikali ya magufuli