Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,512
- 9,552
hahhaahhhahahahajahahah
MikojoMan u MAVI
Kivyovyote mkuu hata yangekuwa maji...anapataje ujasiri wa kunywa uwanjani!!?Pole mkuu ila ile ni kahawa au unaweza sema al kasus
Avr leo ipo bize inajiandaa ma michuano ya OLYMPICAnasubiri mshinde![]()
HahahahahaMungu awatangulie jamaa zetu wa old Trafford....


acha kuilinganisha Man u na huo utopoloHii team kama CCM tu



Sisi united hii game hatutoki
Kosa la ole Ni lipi ndugu.Hii timu wasipoachana na Ole hata wamlete Messi,Ronaldo hamna kitu.
Tunarudiaaaaaaaa



