Angalia vijana mashine wanazosukuma......eti Anderson ndio kakimbiza na hio merc yake....
Footballers' cars: Man Utd stars' motors | The Sun |Sport|Football
Naona anguko la Man U msimu huu ujao,naona kama watamaliza wakiwa nafasi ya 3 au 4.
1.Chelsea
2.Tottenham
3.Man City
4.Man U
5.Everton
6.Arsenal
Sent from BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ogah ,ili mchezaji asajiliwe lazima kuwe na makubaliano ya pande 3 (timu anayotoka,timu anayokwenda,na mchezaji mwenyewe).Ni kweli SAF alitaka kuwasajili mfano Benzema na Varane but Zidane aliwashawishi wafaransa wenzake wakaenda Madrid,hao kina Essien na Mikel bora hawakujaKwa nini Man United ni wepesi kwenye kusajili wachezaji maridadi?........kipindi cha nyuma walitaka kumsajili Silva...kaishia kuchukuliwa na Man City, walitaka kumsajili Essien na hata Mikel Obi wote waliishia kuchukuliwa na Chelsea.....walitaka kumsajili yule M-Brazil Lucas....akaishia kuchukuliwa na PSG........walitaka kumsajili Karim Benzema....akaishia kuchukuliwa na Real Madrid.......walitaka kumsajili Ozil....naye akaishia kuchukuliwa na Real.......walitaka kumsajili Golikipa Mjerumani....akaishia kuchukuliwa na Beyern.........etc etc etc......SASA wanataka kumsajili Thiago......naye kuna kila dalili za kutojiunga na Man United.......Mashetani ni wepesi sana katika usajili..........
Kwa nini Man United ni wepesi kwenye kusajili wachezaji maridadi?........kipindi cha nyuma walitaka kumsajili Silva...kaishia kuchukuliwa na Man City, walitaka kumsajili Essien na hata Mikel Obi wote waliishia kuchukuliwa na Chelsea.....walitaka kumsajili yule M-Brazil Lucas....akaishia kuchukuliwa na PSG........walitaka kumsajili Karim Benzema....akaishia kuchukuliwa na Real Madrid.......walitaka kumsajili Ozil....naye akaishia kuchukuliwa na Real.......walitaka kumsajili Golikipa Mjerumani....akaishia kuchukuliwa na Beyern.........etc etc etc......SASA wanataka kumsajili Thiago......naye kuna kila dalili za kutojiunga na Man United.......Mashetani ni wepesi sana katika usajili..........
Thiago alcantara aota mbawa united
mkuu umesahau kuongeza eden hazard na sneijder
ukweli ni huu man utd hawana nguvu tena kwenye soko la usajiri mfano msimu uliopita first target alikuwa eden hazard akaishia kwenda chelsea, second option akawa lucas moura akaishia kwenda PSG wakaja kwenye option ya 3 ambae ni kagawa hakuna timu kubwa yenye nguvu ilikuwa inamtaka, fargason analijua hili ndo maana akakimbilia kwa moyes ambae anajua ni msiri kama yeye na m2 ambae atlest anaweza mudu bajeti ndogo na kusingizia pesa ipo, angalia usajili msimu huu timu kubwa zote zimeshafanya usajili muhimu mapema mfano barca-neymar, munich-gotze, madrid-isco, chelsea- schurrle hawa ni wachezaji ambao timu ziliwatarget msimu mzima, man utd walimtarget thiago ambae ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa sema anapambana na xavi, iniesta na fabrigas kupata namba ni ngumu, tena anapatikana kwa bei rahisi man utd wameusishwa nae muda mrefu lakin ataishia kwenda bayarn, hii ndio man utd
ukishasikia timu nyingine inamuwania mchezaji anayeviziwa na Man United....ujue Man United hawatakuwa na ubavu wa kuchukua huyo mchezaji tena.......
Kinachonishangaza nevertheless, Man United bado inakuwa timu inayotishia hao wote wanaoiba wachezaji wanaoviziwa na Man United.........
Hv Van Persie alikuwa anatakiwa na Man Utd peke yake?
umeshinda Mkuu........however, kuna ukweli mwingi kwa niliyoandika......