Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Keshasaini au ndio story za vijiweni?
hajasaini, man U wamekubaliana tu na mchezaji mshahara, hio ni nusu ya usajili, baada ya hapo man u wanatakiwa kukubaliana na porto gharama za usajili, porto wakikubali ndio anakuja. sema hio tweet pia imeongelea psg wanamvizia, tunaweza pokonywa tonge mdomoni.
 
Hapo kwenye transfer ndo panapowashinda man u we subiri uone mkuu.
fabrizio Romano ambaye yupo sahihi muda mwingi anasema beki wa kushoto na winga wa kulia wanakuja.
1swro9461xn51.jpg

sema wanamaliza beki wa kushoto kwanza halafu ndio winga.
 
Yaani dirisha lifungwe tu inakera sana tunakuwa linked na wachezaji wengi na wazuri ila huishia kwenda timu nyingine huu ni ujinga sasa bodi na baadhi ya mashabiki wa man u mnadhani timu yetu imekamilika embu mshawai kujiuliza akiumia martial, rashford bruno matic wan bissaka au maguire nani atacheza??? Hii timu yetu isiposajili tena msimu huu wachezaji watatu world class bado tutaendelea tu kuisindikuza liverpool and mancity title winning era
 
Tunakwenda kucheza uefa kwa nini bodi isisajili world class players kuziba matatizo ambayo tunayo kila siku?? Man u tuna shida ya winger wa kulia hata mtoto wa la saba asiyejua mpira anajua hilo, tuna shida ya beki wa kati hayo ni maeneo ambayo lazima lazima tuyarekebishe cha kushangaza ili litimu bodi na ole wao wanaenda kusajili van de beek an un unnecessary signing kioindi hiki anyway sio mbaya una mamido karibu watano unaenda kuongeza mwingine wakati kuna sehemu una shida ipo wazi badala udeal nayo unaiacha.
Kloop na Pep wamemwacha mbali sana ole kwa kutumia akili kloop huwa anasajili kuziba nafasi yenye upungufu tuu liver hawana creative middlefilder amabye ni aggressive tayari kloop hajapoteza mda kasajili thiago guaidiola alikuwa anashida ya beki kasajili ake nknk hizi ni target signings una sajili kwa sababu fulani man u tuna matatizo lukuki winger ya kulia na beki wewe unaenda kusajili middle mwingine eneo ambalo tayari kwa kiasi chake lina ahueni. anyway tusubiri tuone donny ana kitu gani cha ajabu ambacho kina pogba, bruno na scot hawana mpaka man u tumeacha kununua winger na beki tukamkimbilia yeye yaani ni sawa na nyumbani hakuna chakula badala ya kununua msosi familia ile wewe unaenda kuwafanyia shopping ya nguo.
Bodi itie pesa chapchap kwenye maeneo yenye shida sugu wachezaji world class kama sancho na koulibaly then sasa waanze kufikiria kuboresha left back na striker mmoja clinical mwenye nguvu kama backup ya kina shaw na martial uone kama epl hatubebi ila kwa winger hii ya kumtegemea greenwood na beki ya kina linderlov ata ukimleta huyo sijuu regulion nk ni kazi bure
 
Yaani dirisha lifungwe tu inakera sana tunakuwa linked na wachezaji wengi na wazuri ila huishia kwenda timu nyingine huu ni ujinga sasa bodi na baadhi ya mashabiki wa man u mnadhani timu yetu imekamilika embu mshawai kujiuliza akiumia martial, rashford bruno matic wan bissaka au maguire nani atacheza??? Hii timu yetu isiposajili tena msimu huu wachezaji watatu world class bado tutaendelea tu kuisindikuza liverpool and mancity title winning era
Lawama zangu kuhusu usajili nazitunza hadi deadline day
 
★Binafsi me huyu dogo namuelewa kwa kuangalia mechi zake nne tu dogo anaujua tuache masihara labda aje na wenge lake tu asee
Nilitamani sana huyu dogo aje aharakishe safari ya Axel Tuanzebe.

Sijawahi kuona kitu special kwa Tuanzebe zaidi ya kuwa na sifa za Phil Jones kwenye kitanda cha wagonjwa.

Nataraji kuona makubwa kutoka kwake msimu huu ni beki mzuri sana mwenye kila sifa za kuitwa central defender.
 
Back
Top Bottom