Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Alex telles ni bonge la LB ila kuja United haiwezekani hata kidogo labda maajabu ya YESU. Sancho,Thiago, Regulion, nafikiri tunakumbuka vizuri walikubaliana ila hakuna lolote lililotokea. Huyo haji united ila ataenda PSG. Maana bodi haitampa Pesa Ole akasajii.
Mbona umekimbilia kutabiri hivyo?
Au unakunywa chai meza moja na ED Wood.
 
Hakuna sehemu utakayopata review nzuri ya mchezaji, ukienda YouTube huwezi kuona defending skills zake kwasababu watatumia muda wote kuonyesha magoli na assists zake. Na YouTube hakuna mchezaji mbaya wanaweka highlights nzuri tu kama ni kukaba wataonyesha skills kali tu sasa najiuliza kwanini umeshangaa kuwa vizuri defensively au kwakuwa ana-attack sana.
Nimeshangaa kwa sababu maoni ya watu wengi wanadai sio mzuri sana upande wa kudefend, mara nyingi anakuwa "out of position"

Na atatumika sana kwenye mechi na timu ndogo .
Au big mechi acheze kama wingback(kwenye mfumo wa 3-5-2).
Uzuri wake ni attacking hapa Shaw haoni ndani. Hasa kwenye kutoa crosses.

Haya ni maoni ya watu wanaofuatilia ligi ya ureno. Kwa upande wangu sijawahi kumuona akicheza.
 
119973313_3530695103617607_2272919041485538654_n.jpg
 
Back
Top Bottom