We jamaa unapenda kuamisha goli..si ulisema kuwa Fred/Matic atakuwa replaced na VDB ndo watu wakakuambia kuwa labda tucheze 442 diamond au 4312 ndo tutakapoweza kuaccomodate viungo wanne?Mkuu hapa timu ilichezaje na viungo 4?
Je haikuwa na balance?
Usipende kukariri Mkuu.
Ole keshasema anachezesha wote POGBA,,FERNANDEZ,, VDB kwa pamoja,,,sasa nashindwa kuelewa taitizo lipo wapi?
Hyo formation tulimpiga Chelsea 2 - 1 .View attachment 1563841
Aliyekuja na hii idea na wote waliopitisha hawakufikiri vizuri, hii rangi design haiendani na brand ya man uWajelajela FcView attachment 1563612
Ni kweli mkuu nilifurahi sana kuja kwa Donny sasa tunadepth nzuri kwenye midfield yenye wachezaji wazuri 6 hapo tunaweza kubadili mfumo uwanjani kadri tunavyotaka lakini pia tunaweza kufanya sub ya Pogba au Bruno bila shaka pale wanapochoka.nje ya thread:
eveton wamezoea kufanya bishara kubwa za average players lakini mwishoni wanakuwa flopping, ngoja tusubirie miujiza ya carlo ancelotti
- paundi millioni 63 = wachezaji watatu
- paundi millioni 50 = mchezaji mmoja anayelingana kiuwezo na lucas digne
PTER natumai usajili wa van der beek umekata kiu yako
tukijificha kwenye hoja ya kupata majeruhi kwa wachezaji wetu muhimu msimu uliopita ndio kumepelekea tulingane na chelsea kwa alama nafikiri tutakuwa tunafanya makosa makubwa sana ya kiutetezi na huenda tukaishia kufungwa sisi gerezani. Ni kwa sababu hata chelsea na wao watakuja na utetezi wa kwamba walikosa nafasi ya kusajili wachezaji walioondoka (mfano eden hazard aliyekuwa key player) na pia walikosa nafasi ya kuimarisha kikosi chao kutokana na mapengo yaliojitokeza chini ya kocha sarri, wakati sisi nafasi hiyo tuliipata lakini tukashindwa kuitumia ipasavyo kwenye dirisha kubwa la usajili.Jamani mbona watu wanajilinganisha na Chelsea ktk usajili? Wale walikuwa na mapungufu mengi sana tena bado wanahitaji zaidi kusajili kama kweli wanataka kushindana zaidi. Golini bado wanapwaya sana pia hata beki wa kati bado pana uchochoro pia. Kilichofanya sisi tukimbizane nao ktk safari ya top 4 msimu uliopita ni majeraha tu ya wachezaji wetu muhimu.
Dah 😂😂😂😂
Bora zile za Chelsea aise😂😂😂😂😂Crazy! The season is lost by zebra jerseys even before the ball is kicked!View attachment 1563441
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hivi mata ni winger? Au attacking midfielder?viungo wanne umewaona wapi hapo?
bissaka maguire lindelof shaw -mabeki
mctominay matic pogba - viungo
rashford winga kushoto, mata winga kulia, martial mshambuliaji katikati
zipo mechi tunacheza na viungo wanne (midfielders wa kati) mfano ya everton, 4-3-1-2 ila sio hio.
Mata Natural ni no 10, ila mechi nyingi man U anachezeshwa kama winga wa kulia, inside forward wa kulia etc mara chache sana kukuta yupo 10, na ukimkuta ni mechi ndogo ndogo.Hivi mata ni winger? Au attacking midfielder?
Sasa kwa mfumo huo kwann pogba ..Fernandez,,na VDB wasicheze pamoja?
Mkuu hoja yangu ni kwamba hao viungo wote wanacheza pamoja,,We jamaa unapenda kuamisha goli..si ulisema kuwa Fred/Matic atakuwa replaced na VDB ndo watu wakakuambia kuwa labda tucheze 442 diamond au 4312 ndo tutakapoweza kuaccomodate viungo wanne?
Halafu Mata alicheza kama winga sio kiungo..Balance ipo ya kutosha kwenye hicho kikosi Matic na Scot wote wapo na ni defensive minded
Aliyekuja na hii idea na wote waliopitisha hawakufikiri vizuri, hii rangi design haiendani na brand ya man u
Hatuwezi kivipi mkuu ? Kwani wewe ndy ole?Mata Natural ni no 10, ila mechi nyingi man U anachezeshwa kama winga wa kulia, inside forward wa kulia etc mara chache sana kukuta yupo 10, na ukimkuta ni mechi ndogo ndogo.
Pogba/fernandez/VDB kucheza pamoja umeshajibiwa kwa mfumo wa sasa hatuwezi, labda mfumo ubadilike
Ww c uliambiwa usi comment humu utafutiwe kazi ya kufanya naona unakaidi maagizo.Bora zile za Chelsea aise
Kwa beki za man u uchezeshe viungo hao watatu bila defensive minded midfielder, utaambulia kupigwa 7up.Ndy nikasema wataua winga moja,,matic atacheza chini hao watacheza kwa pamoja..
Au wanaweza wakacheza wote bila matic kama mfumo huo...View attachment 1563846
Hata mimi Naona same story zinajirudia, RW ni top top priority, hata Dm tunatakiwa kumtafuta mrithi wa Matic.Sitoelewa ni kwa jinsi gani tutaanza msimu bila ya kuimarisha front line yetu..iwe ni Striker au RW
Maadam muda upo acha tusikilizie
kama pesa ipo ya kutafuta mlinzi mwengine wa kushoto mwenye kuvuka ubora wa hawa tulionao basi si vibaya kama tutasajili tena mlinzi wa pembeni kwa mara nyengine (dalot, wan bissaka, luke shaw, rojo, darmian)Siyo wote mkuu Reguillon ni fullback wa kawaida tu siyo upgrade ya Brandon wala Luke Shaw.
Fullbacks za Real Madrid za sasa ni za kawaida tu na Marcello alikuwa na majeraha ya muda mrefu kwanini Reguillon hakuchukua nafasi.
Hata Ole mkuu anafuata mifumo ambayo ipo tayari, unaweza mchezesha pogba/bruno/Vdb labda timu pinzani imepaki basi unatafuta goli, ila unaCheza na Man City ama Liverpool then 6 Pogba ni majanga hayo.Hatuwezi kivipi mkuu ? Kwani wewe ndy ole?
Yeye kasema wanacheza wote ili apate magoli zaidi,,
Na hata kuhusu mata unasema ni no 10,
Kumbuka hata hao akina pogba na Fernandez na VDB wote wanacheza no 10 na 8 kama mata,,
Ila mata ni left footed attacking ..
Muda utaongea,,au pengine mfumo huo usitoe matokeo chanya,,
Nimeona tetesi za Man united kumtaka Alex Telles wa FC Portokama pesa ipo ya kutafuta mlinzi mwengine wa kushoto mwenye kuvuka ubora wa hawa tulionao basi si vibaya kama tutasajili tena mlinzi wa pembeni kwa mara nyengine (dalot, wan bissaka, luke shaw, rojo, darmian)
nikimuangalia brandon williams anavyocheza inaniwia vigumu sana kuamini ya kwamba siku moja ataweza kufikia level ya ubora waliokuwa nao walinzi wengine wa kushoto waliokuwa wanatumia mguu wa kulia kwa kiwango kikubwa sana (mfano phillip lahm na javier zanetti).
kwa ufupi brandon williams anateseka sana pindi anapocheza upande wa kushoto na kuteseka kwake kunapelekea timu yetu iwe dhaifu sana pindi tunapokwenda mbele kushambulia (kiwango kibovu cha rashford na kuumia kwa luke shaw kulipelekea kwa kiasi kikubwa upande wetu wa kushoto kuwa butu mwishoni mwa msimu)
brandon williams hana msaada mkubwa sana tunaposhambulia (si hodari wa kuoverlap, passing accuracy bado ni tatizo, hawezi kumzidi mpinzani akiwa outside, hawezi kupiga krosi ya uhakika kwa kutumia mguu wa kushoto) ukimlinganisha na luke shaw (japokuwa shaw hana maamuzi bora tunapofika eneo la hatari lakini bado analeta faida kubwa sana, link-up na uhuru kwa winga wa kushoto).
kama ni kweli tunahitaji kufanikiwa kupitia huu mfumo wa 4-3-3 basi tunapaswa tuongeze nguvu kubwa sana eneo la pembeni, ni lazima tuwe na wachezaji wenye uwezo wa kupenetrate, break low blocks and provide natural width, kwa sasa hatuna traditional wingbacks wa uhakika lakini kufidia tatizo hili hatukupaswa pia kukosa attack-minded fullbacks ((nimeumizwa sana na usajili wa mchezaji aina ya wan bissaka kwa gharama, huyu hana kisingizio cha kutumia mguu wa kushoto akiwa ni mlinzi wa kulia kama ilivyo kwa brandon williams)
angalia timu kama real madrid wanamtumia marcelo wa zamani, juventus (alexsandro), barcelona (jordi alba wa zamani), robertson (liverpool), davies (bayern munich) na wote hawa wanatumia miguu ya kushoto ya asili.
ikiwa ole hana imani na diogo dalot basi ni bora auzwe halafu brandon williams arudishwe upande wa kulia apambane na wan bissaka.
uzuri ni kwamba wan bissaka na brandon wana takwimu nzuri sana za kiafya,
ningeliitumia nafasi hiyo kwa kumtoa kwa mkopo ethan laird akapate uzoefu. Kuendelea kumtegemea brandon williams upande wa kushoto kama ni backup ya mgonjwa luke shaw itakuwa tunazidi kutengeneza tatizo (kwa sababu kiwango cha rashford hakieleweki)
Kuna mfumo wanacheza wote watatu kwa pamoja,,Hata Ole mkuu anafuata mifumo ambayo ipo tayari, unaweza mchezesha pogba/bruno/Vdb labda timu pinzani imepaki basi unatafuta goli, ila unaCheza na Man City ama Liverpool then 6 Pogba ni majanga hayo.
Kuna kipindi Aliumia Mc tominay/pogba/matic na midfield wa kati akacheza perreira, tulikuwa tunafungwa kijinga sana, mpira ndio ulivyo.
Na ole amesema wapi atawachezesha wote watatu kwa mfumo wa sasa?