Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Uzuri mmoja mimi huwa sinaga tempah za kumind

Tuendelee kuishi..

Nimegundua watu wengi hawajui ushabiki..
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Kuna ushabiki na kuna utoto , kama hapa unataka malumbano uchafue thread za watu, washindwe kujadili timu yao

Sasa huo utoto ndio mtu anashindwa hata kukutafutia mchongo
 
Yaani sasa hivi, mashabiki wa arsenal na chelsea hapa JF, wamekuwa kama vihiyo flani hivi. Kwenye majukwaa yao wanatukanana kama watoto. Kisa mmoja wapo kasajili sana na hapo ligi haijaanza; na mwingine kaokota vikombe viwili, kikombe kimoja wapo ni kisahani cha ubwabwa (community shield) na kikombe kingine kama kopo la bafuni (fa cup). Wakimaliza fujo zao huko ndiyo nawaona wanakuja huku jukwaa letu, hawataki kuongelea mpira, wanaomba ajira. Ni full kachumbari.
 
Yaani sasa hivi, mashabiki wa arsenal na chelsea hapa JF, wamekuwa kama vihiyo flani hivi. Kwenye majukwaa yao wanatukanana kama watoto. Kisa mmoja wapo kasajili sana na hapo ligi haijaanza; na mwingine kaokota vikombe viwili, kikombe kimoja wapo ni kisahani cha ubwabwa (community shield) na kikombe kingine kama kopo la bafuni (fa cup). Wakimaliza fujo zao huko ndiyo nawaona wanakuja huku jukwaa letu, hawataki kuongelea mpira, wanaomba ajira. Ni full kachumbari.
Mashabiki wa Arsenal na chelsea humu JF kama vitoto vya primary school..
 
Back
Top Bottom