Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Mzee kuna watu wanawachukiaga watu tu bila hata sababu ya msingi..Huyo Fred mbona munamchulia sana!?
Mtu anayesema Fred ni wakuuzwa sijui huwa anatumia akili gani?.ila muda mwingine inabidi tukubali maoni ya watu..Kipindi Pogba na Matic walipoumia Jamaa ndo alikuwa kila kitu kwetu..


