Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Napendekeza UEFA iunde chombo cha kusimamia hizi bei yn wawe wana wa rank wachezaji na gharama zao yn wafanye hv

Grade A (£91mil -£100mil)

Grade B (£81mil - £90mil)

Grade C (£71mil - £80mil)

Grade D (£61mil - £70mil)

Grade E (£51mil - £60mil)

Grade F (£41mil - £50mil)

Grade G (£31mil - £40mil)

Grade H (£21mil - £30mil)

Grade I (£11mil - £20mil)

Grade J (£1mil - £10mil)

Na hapo wawe wana update viwango (ranks) vya wachezaji mara kwa mara hii pia itasaidia hata ktk kumpata mshindi halisi wa tunzo km za ligi mpk za kidunia na co mchezaji anang'ara mcm mmoja huyoo anabeba ballon d'or, lkn pia itasaidia kulinda soko la wachezaji linalokwenda kuharibika na kwenda nje ya uhalisia.

Lkn pia itasaidia kuwabana mawakala wenye tamaa zilizo pitiliza cz hao ndiyo wanaoharibu mpira kwa kuweka ma price tag yasiyo na msingi matokeo yake mchezaji anacheza kwa pressure kubwa cz akifikiria price aliyonunuliwa haimstahili kabisa mwisho wake hatupati ladha kamili ya soka cz pesa inazd kushika hatamu.

Hii pia itasaidia kumpeleka mchezaji tm anayotaka, mfano mchezaji wa grade A anatakiwa na tm lukuki but price yake ishawekwa hadharani kitakachobaki hapo ni mchezaji kuchagua tm anayotaka so hapo itabd tm zngne ziboreshe viwango ili kuvutia wachezaji.
Tulio Grade Z tunalipwa sh ngapi?
1597989467163.jpg
 
Soko siku hzi limebadilika na we dont hv to make a fool of anyone due to that.
Utd tulimuuza Ronaldo to madrid kwa approx £80mill kwa kipindi hicho ambapo kwa sasahivi ingekuwa juu zaidi..
Same na hapo naona price tag ya kipa ni £30mill( zaidi ya miaka mitano iliyopita) nafikiri kwa mwaka huu ni zaidi ya hiyo.
Kwa sasa tunaangalia thamani,ukiangalua thamani ya hicho kikosi kwa sasa ni zaidi ya mara mbili au tatu ya gharama za mwanzo. Ambapo huwez fananisha na gharama za Maguire.!!!
upo sahihi brother,
ila kuchafuka kwa soko la usajili barani ulaya na duniani kwa ujumla isiwe sababu au kichocheo kikuu kwa klabu husika kujiingiza kwenye biashara zisizo sahihi na zinazoweza kuepukika kwa kutafuta target mbadala.

klabu husika inapaswa iongozwe na sera imara zenye kuambatana na mipango madhubuti kwa kuanza na utumiaji wa wataalamu bora linapokuja suala la majadiliano ya mikataba na mauzo ya mchezaji lengwa, ufuatiliaji wa kiundani zaidi wa taarifa za mchezaji husika kwenye soko la usajili (ni vizuri zaidi ukafahamu mchezaji husika analengwa na timu gani nyenginezo na dau lao waliloweka na naamini si kosa kisheria), bila ya kusahau kuweka imani na wachezaji wanaotokea kwenye mfumo wa academy ili kujiepusha na hizo panic transfer za mara kwa mara.

baadhi ya maeneo hayo klabu ya bayern munich wameonyesha mafanikio (nimeangalia hapa wachezaji wengi wa bayern ukiachana na gharama ndogo za usajili pia mishahara yao inatembea kwenye wastani wa paundi elfu 80 hadi laki moja na thelathini, kwangu mimi hayo ni mafanikio makubwa sana kiuendeshaji wa klabu kwa njia ilio sahihi)

tatizo kubwa lililopo klabuni kwetu kwa sasa ni lile la kuingia kwenye harakati za kutafuta mchezaji mpya au kumshawishi mchezaji asaini kandarasi mpya tukiwa tayari tumeshaonyesha udhaifu wa uhitaji mkubwa wa mchezaji huyo, na hapo ndipo pande hasimu wanapoitumia fursa ya kutuingiza kwenye biashara zenye ugharama mkubwa kuanzia gharama za malipo pamoja na gharama za mishahara.

kwa mfano
juzi nimesoma taarifa isiyo rasmi inadai ya kwamba manchester united wanataka kumshawishi dean henderson asaini mkataba mpya wenye thamani ya paundi laki moja kwa wiki, kama ningelikuwa nipo upande wa dean henderson basi ningelimshawishi atingishe kidogo biriti ndipo asaini kandarasi mpya (naamini upo uwezekano wa kuzidishiwa bonus), baadae akubali uamuzi wowote utakaofikiwa na klabu (either kutolewa tena kwa mkopo au kugombania namba).
kiupande wangu naamini paundi laki moja ni kiwango kikubwa sana cha mshahara kwa mchezaji ambaye hana uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza na pia huu ukiwa ni msimu wake wa pili tokea acheze premier league tena kwa timu isiyokuwa na presha kubwa.

cha kustaajabisha klabu inakwenda kufanya majadiliano na upande wa henderson haliyakuwa tayari tumeshaonyesha udhaifu mkubwa wa uhitaji wa huduma yake kana kwamba hakuna target nyenginezo zenye uwezo wa kushika nafasi yake....
=====================================
mifano ipo mengi tu.......
ishu ya rashford kupewa mkataba wa kufuru (sina uhakika mkubwa ila mshahara wake unalingana na salah, lewandowski, aguero)
ishu ya degea kupewa mkataba wenye mshahara mkubwa (anafika paundi laki 3),
usajili wa harry maguire,
usajili wa wan bissaka (hapa zilikuwepo target nyingi mbadala),
usajili wa sancho (dortmund wameamua kutumia mbinu hii, wanajua tunafanana na barcelona kitabia)
 
Kwahiyo kila nafasi uwanjani itakuwa na grade yake tofauti?
Kwn mkuu ballon d'or huwa wanazingatia vigezo gani? Hapo ukickia mchezaji huyu ni grade A hata awe beki au forward bado atabaki kuwa grade A, af hizi grade mbn zpo tu japo hazipo rasmi cz kuna mchezaji ukimckia tu akili ina mrank kwmb huyu ni classic player au huyu ni average so grade itatoa utata wa kupigana pesa kizembe.

Na hapo manaake uefa watakuwa wameweka maximum price for players transfer kwahiyo kutakuwa hakuna kupigana mpunga kijinga jinga cz lengo asili la soka ni soka but pesa ikaja baadaye baada ya shida ya wachezaji mpira.
 
★Ona li Mshahara la STAR BORN BICHWA MAGUIRE

#GGMUView attachment 1544167
Ndo mana mpira wa kingereza hautakuwa daima, eti Bruno analipwa sawa na dogo Henderson na wala hajaprove bado kwamba ni kipa bora duniani wkt huo huo anazidiwa pesa na hao wasenge wawili daahh aisee hii tm hii ndo mana inazingua kwasabu ya laana.
 
★Hakuna kitu nimeshangaa kama kuona mpaka Victor Lindelof kamzidi BRUNO mshahara kwa beki gani anayoipiga hapo OT basi tu haya maisha
Ndo mana mpira wa kingereza hautakuwa daima, eti Bruno analipwa sawa na dogo Henderson na wala hajaprove bado kwamba ni kipa bora duniani wkt huo huo anazidiwa pesa na hao wasenge wawili daahh aisee hii tm hii ndo mana inazingua kwasabu ya laana.
 
★Kuna clip ilisambaa sana kuhusu mechi hii ya mwisho Goli la pili kama sijakosea Lindelof kafanya uzembe jamaa waka chomoa kuambiwa (anaelekezwa makosa) na BRUNO naona anabisha afu anaendelea kufoka ningekuwa mimi angechezea mbata kwanza Team haiwezi kwenda bila maelewano na Kujifanya miungu watu wanamvunja Moyo BF mwisho ataacha kuwa anaongea (Tʖ̯T)
Na ndiyo maana cku ile Bruno ambaye anastahili kuwa captain wake anamfata anamwambia umezingua eti anamletea jeuri cz c anamzidi pesa bhn.
 
★Harry Maguire has been transferred from Mykonos to Syros in a police vehicle after an incident last night.

Hapa chini ndio wamenichekesha

Not our usual transfer news.
IMG_20200821_213448_512.jpeg
 
Lukaku kascore kwa penati dakika ya 6. Imepatikana baada ya yeye kua on a move kwenda kuscore akashikwa na kuanguka ndani ya box.

Anatimiza magoli 34 kwa michuano yote.
 
Back
Top Bottom