The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
SawaMsimu ujao tutapoteana humu.View attachment 1544315
SawaMsimu ujao tutapoteana humu.View attachment 1544315
Tushazoea timu letu hili inapofika suala la usajili they're so lazy.Tumemaliza zaidi ya mwezi Tangu Dirisha lifunguliwe na HUATUJAFANYA USAJILI WOWOTE wa 1ST team..
Chelsea anamalizana na Ben Chilwel(LB Leicester) huko..

sina uhakika mkuu ila nazani ni kapozi tu★
Hiyo alama ya vidole vp ndo keshaingia kwenye chama km jina lake auu, km kaingia baridi tu dhambi yake faida yetu.
Mkuu wale jamaa hawawezi kumuacha yule mtoto ni wao yule hushangai ana nyota kali vilee★sina uhakika mkuu ila nazani ni kapozi tu★


Dah,ikifikia hapa unaona kusoma ni kupoteza muda tu.
Tumemaliza zaidi ya mwezi Tangu Dirisha lifunguliwe na HUATUJAFANYA USAJILI WOWOTE wa 1ST team..
Chelsea anamalizana na Ben Chilwel(LB Leicester) huko..
tu★
Mkuu wale jamaa hawawezi kumuacha yule mtoto ni wao yule hushangai ana nyota kali vilee![]()
Ni kama hatujui tunataka nini kwa sasa,ila ligi ikianza utasikia ogs ndio anaongea kuimarisha kikosi.Hivi kusajili sisi tunangoja mpaka ifike lini?
Wakati Wan bisaka anamchango mdogo kwenye ushambuliaji,luke shaw kila baada ya mechi 2-4 anarudi dispensary ya klabu kutibiwa miguu.★Bado wanamtak na THIAGO SILVA★
★
Wakati Wan bisaka anamchango mdogo kwenye ushambuliaji,luke shaw kila baada ya mechi 2-4 anarudi dispensary ya klabu kutibiwa miguu.
Lakini tumechill tu
Chilwell uchochoro uleTumemaliza zaidi ya mwezi Tangu Dirisha lifunguliwe na HUATUJAFANYA USAJILI WOWOTE wa 1ST team..
Chelsea anamalizana na Ben Chilwel(LB Leicester) huko..
Lukaku kachangia goli moja la penalti na moja alilowafungia Sevila very good and crucial goalInter kachakazwa huko na sevilla. Inaonekana sevilla ni watu wa mahesabu when it comes to europa. Ndiyo maana tunasema europa Ni kombe la sevilla. Wale akina lukaku poleni.




Inter wangechukua Lukaku angebonga sana.Lukaku kachangia goli moja la penalti na moja alilowafungia Sevila very good and crucial goal![]()
Luke shaw ana mshahara mkubwa kuliko Mata
Lukaku is average player watake wasitake, hata magoli yake huwa c ya kiufundi km natural no.9 wanavyofunga, yn japo mtu km Martial au Rashford huwa wananikera kwa uwezo wao mdogo lkn mm ntamchagua mmoja wao kuliko lukaku, hao wawili wana makosa ya hapa na pale ila Lukaku ana makosa mengi kuwazidi.Inter wangechukua Lukaku angebonga sana.
Dah mkuu mkihamia huku mtaharibu huu uzi.Wazee wa kubeti Njooni huku ile thread wamefuta Tena au tuachane nao?
Luke shaw ana mshahara mkubwa kuliko Mata
Luke Shaw wapo sawa na Rashford hivi nikikumbuka sources nilizowahi kuzicheki