Kwahiyo Martial na Rashford chini ya Klop nao pia watakuwa balaaa,si ndio mkuu?Na magoli ya ubelgiji? Alivyokuwa everton?
Leo mnataka natural number 9. Yupi zaidi ya Lukaku?
Kwamba Rashford au Martial ni bora kuliko Lukaku?
Tatizo la United ni kocha, sio wachezaji.
Klopp angekuwa na wachezaji kama hawa tungeongea mengine.
Kane takataka mbele ya Lukaku! Hii sasa sijui tuiiteje. Zingekuwa timu tungesema betting inawaharibu. Sasa hapo sijui shida itakuwa nini. Ila umenichekesha sana.Brexit players.
Harry Kane ni takataka mbele ya Lukaku. Huyo ni mid table team player sio level ya United.
Chicharito, Nesterlooy walicheza kwa mafanikio United, tena walikuwa average na uchezaji almost sawa na wa Lukaku.
Huyo hata hajielewi anasema kumtoa lukaku haikuwa sahihi kwamba ni mzr kuliko kina Rashford hapo hapo anasema tatizo ni kocha na wala sio wachezaji ss utamwelewaje mtu huyo?Kwahiyo Martial na Rashford chini ya Klop nao pia watakuwa balaaa,si ndio mkuu?
Anayejua mpira yupoje??Mkuu nahisi we hujui mpira au una hasira za karibu au una mihemko au yawezekana mpira umeanza kuangalia juzi juzi tu.
Hahahaa inashangaza.Ni threat kwa wachezaji ambao sio Waingereza.
Leo unaambiwa Maguire atafutiwe mchezaji bora kuliko Lindelof.
Ili hali Maguire naye ni takataka kabisa.
Mchezaji anakuwa mzuri kwa formation ya kocha.We Kiongozi, unasema Ruud Van alikuwa average player? My bare foot! Hiv kwa miaka ya karibuni tuliwahi kuwa na clinical N.9 zaidi ya Ruud?
Uyu bruno ni lingard aliyechangamkaBruno bila penati ni Mavi tu. View attachment 1541346
Certified InsaneNyie mnaopiga kelele za lukaku huwa nawashangaa sana, lukaku hakuanzia man u km tm kubwa kwake bali alianzia Chelsea na akafeli akaenda tm ndogo km ckosei Everton akaanza kushine kdg japo hakuwahi kuwa mfungaji bora wa ligi yyte kubwa lkn tukamchukua, na baada ya kumchukua akaanza kunenepeana huku akikosa magoli ya wazi kabisa pengine kuliko hata anayokosa chizi mwengine trashford au yule mzembe wa kifaransa Martial, leo ameenda inter ameshine kwa namna yake mnaanza kupiga kelele kwamba tulikosea kumuuza mnasahau kwmb presha iliyopo inter huwez kuifananisha na presha iliyopo utd, alikuwepo pale utd na wengi wenu mlikuwa mnalaumu kwamba ana kilo 100 kuweni serious hata kdg basi.
Mchezaji anakuwa mzuri kwa formation ya kocha.
Nikatoa mfano wa wachezaji waliokuwa wa kawaida ila badae makocha wakawafanya kuwa great players. Mfano Chicharito na Nesterlooy.
Kumuondoa Lukaku pale United lilikuwa kosa kwasababu dunia ya sasa kumpata natural no 9 si rahisi, labda utoboke mfuko haswa.
Leo hii Martial ameshindwa kudeliver, mnataka no 9 natural, na wengine wanamtaka Dzeko/ Mandzukic. Kweli?
Hao wana nini kuliko alicho nacho Lukaku? Isitoshe Lukaku umri bado mdogo, ana misimu mingine minne ya kukupa atleast goli 20 kila msimu.
Huyo jamaa mm mwenyewe nlikuwa angalau namwaminia but tng ateme huo upupu wa ruud van mabao akamuita average player ndo nkamkataa saa hyo hyo na kumuona bado bwana mdogo.Hujui hata unachosema au pengine mpira umeanza kushabikia Juzi mkuu, Nistelrooy alikua classic striker hata kabla ya kuja United yaani katika siku zote Leo ndo umeongea mashudu hapa, huyo mdachi pamoja na chicharito wote Ferguson aliwaleta wakiwa clinical strikers msaada wa kocha ulikua mdogo sana, tafadhali pitia historian ya Nistelrooy ujue Ferguson alikua tayari kumsajili akiwa injured for half a season akiwa PSV kutokana na ubabe wake wa kutikisa nyavu,
Pia angalia mtoto chicharito records zake jinsi alivyokua wamoto huko Mexico pengine waulize Chelsea wanamjua vizuri debut mechi yake tu ilikuaje? Nistelrooy went 10 games scoring goals consecutively msimu wake wa kwanza na wnengi mnamjua kwa kuvizia ila kuna game na Fulham na Charlton alikua ana dribble mwenyewe kwanza katikati ya uwanja hadi golini na kufunga, so don't disrespect the dutch man or the Mexican shooter Javier.
Klop alifungwa fainali na Sevilla msiwe wasahaulifu Sana.Usimfananishe Klopp na Sosha!
Klopp alipoteza 2 za UEFA (Bayern & Real Madrid) na katika michuano yote hiyo aliyopoteza timu yake ilionyesha kiwango kizuri japokuwa alikuwa na wachezaji wa kawaida.
Wewe umeshindwa kufika fainali, tena umetolewa na Sevilla, ukiwa na beki ghali duniani (Maguire) na kiungo ghali duniani (Pogba).
Mtu kama huyo hata tukisema tumpe Messi, Mbappe, Neymar, Ronaldo.. Hana atakachokifanya, usijidanganye!
Umechambua kisport kabisa ,Jamaa anajitia haelewi. Heat map ya Bruno Penaltes ishaanza kusoma kwenye eneo la penati.
Juzi mechi imeisha Sevilla ina possession 51% na Man U 49% wao wanaringia mashuti wakati mengi yalikua off target. Sevilla walikua na on target shot za kutosha tu.
Sasa hivi wameanza kumtengenezea hype yule dogo aliyekua anamla mate na kumkatikia mwanaume mwenzake Greenwood, eti ndiyo matumaini yao wameyalaza pale.
Arsenal tuna Nketiah na Martinell na wako vizuri ila hawaaminiki na kocha kiasi cha kuona waingie kubadilisha matokeo.
Bolingoli manone Lukaku ,huyu jamaa angekuwepo na Kina Bruno angefunga sana, hakuna forward anayemzidi uwezo hapo man uMchezaji anakuwa mzuri kwa formation ya kocha.
Nikatoa mfano wa wachezaji waliokuwa wa kawaida ila badae makocha wakawafanya kuwa great players. Mfano Chicharito na Nesterlooy.
Kumuondoa Lukaku pale United lilikuwa kosa kwasababu dunia ya sasa kumpata natural no 9 si rahisi, labda utoboke mfuko haswa.
Leo hii Martial ameshindwa kudeliver, mnataka no 9 natural, na wengine wanamtaka Dzeko/ Mandzukic. Kweli?
Hao wana nini kuliko alicho nacho Lukaku? Isitoshe Lukaku umri bado mdogo, ana misimu mingine minne ya kukupa atleast goli 20 kila msimu.
Klopp alifungwa fainal lkn tayari alishaonesha sign anaelekea wapi , ndio maana alipoletewa watu ali deliverKlop alifungwa fainali na Sevilla msiwe wasahaulifu Sana.
Unataka kujipa magonjwa ya moyo bureeeee, bora utulieNaomba kuungsa kwenye group la fans wa manchster la whatsapp namba 0762201714 au kama kuna link mnisaidie
Unajua alifungwaje? Sign ipi alishaonyesha? Kufungwa ni kufungwa hakuna cha sign. Acha siasa kwenye footballKlopp alifungwa fainal lkn tayari alishaonesha sign anaelekea wapi , ndio maana alipoletewa watu ali deliver
Takwimu hizo hapo.Hujui hata unachosema au pengine mpira umeanza kushabikia Juzi mkuu, Nistelrooy alikua classic striker hata kabla ya kuja United yaani katika siku zote Leo ndo umeongea mashudu hapa, huyo mdachi pamoja na chicharito wote Ferguson aliwaleta wakiwa clinical strikers msaada wa kocha ulikua mdogo sana, tafadhali pitia historian ya Nistelrooy ujue Ferguson alikua tayari kumsajili akiwa injured for half a season akiwa PSV kutokana na ubabe wake wa kutikisa nyavu,
Pia angalia mtoto chicharito records zake jinsi alivyokua wamoto huko Mexico pengine waulize Chelsea wanamjua vizuri debut mechi yake tu ilikuaje? Nistelrooy went 10 games scoring goals consecutively msimu wake wa kwanza na wnengi mnamjua kwa kuvizia ila kuna game na Fulham na Charlton alikua ana dribble mwenyewe kwanza katikati ya uwanja hadi golini na kufunga, so don't disrespect the dutch man or the Mexican shooter Javier.
Mkuu nimemiss point hapa..NANI Anamtaka DZEKO!? Man u!?Wanakwambia Lukaku mzito. Ila magoli anafunga tena ana miaka 26 tu.
Leo hii wanamtaka Dzeko mwenye miaka 30.
Kuna unachojua wewe? Au unaishi kwa kukariri majina? Takwimu hizo hapo juu zinaongea.Huyo jamaa mm mwenyewe nlikuwa angalau namwaminia but tng ateme huo upupu wa ruud van mabao akamuita average player ndo nkamkataa saa hyo hyo na kumuona bado bwana mdogo.
Hili nalo unasimama mbele ya wanaume unaliia kombeukivuta bang* uwe unalamba na asali utakuja kunishkuru