Mkuu usipuuzie presha kwa makocha na wachezaji wa hizi team kubwa kutoka kwa fans, Sponsors na Management.. Pochet akienda United utamwona bwege lakini ni kocha wa viwango. Pia Subiria kitakachomkuta KoemanWkt mwngne huwa naona maneno ya mzee Wenger yanaishi kichwani mwangu kuhusu kusajili wachezaji wenye majina kwa pesa nyingi wkt sokoni kuna wachezaji wengi tu wasio na majina lkn uwezo ule ule, mfano tazama Leipzig ina wachezaji wengi wasiojulikana lkn kimpira unakuta wanaupiga mwingi kuliko tm nyingi zenye wachezaji wenye majina tatizo hapo ni kuwa na scouting yenye jicho la mwewe.