Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Lesz faire manager. Team nzima yamekuwa kama masela tu.Mkuu mie nadhani hili tatizo la uvivu linasababishwa na meneja wao,haiwezekani kila kitu kinaonekana kocha yeye kakunja nne kabisa wakati mambo hayaendi.
Kwa asilimia kubwa huwa tunafungwa sababu ya work rate ndogo ya wachezaji wengi wa united.
Mwalimu anayaita "the boys" na menyewe yanaitana "the boys".
Pure ROOMMATES mentality.