a.k.a TrashfordRashidi au?
Hii timu ina wachezaji wamesajiliwa kwa pesa kubwa. Kisha wanaenda kupita mbele ya Copenhagen kwa penati.
Wanaanza game na Sevilla wanapata penati. Bruno Penalties akascore. Sevilla wakasawazisha kwa goli zuriiii halafu Pogba, Fred na Maguire wakamzunguka refa kudai lile siyo goli.
Hawakua na uhakika wa kurudisha goli ndiyo maana wakaanza kulilia lile goli likataliwe.
Basi wakate rufaaMkuu sidhani walimzunguka Refa kwa sababu hiyo bali throw in ya upendeleo iliyopelekea goli. Mchezaji wa Seville aligusa mpira.
Hahahaha Aaron ni aina ya watu ambao watakupa uwakika wa kitu uku akijua kabisa ni hope tu anakupaKule kwetu lawama zote tunamtupia aron



Usajili wa Willian umempa uwakika wa kuwa title contender msimu ujao..Wenzake wanamsikiliza, wanaona timu ndiyo hii, wamemaliza ligi wakiwa top 10. Sasa anawaambia hawakamatiki and blah blah blah hata pre season bado.







Siwezi kukupinga mkuu! Kila mtu na mtazamo wake!Usimfananishe Klopp na Sosha!
Klopp alipoteza 2 za UEFA (Bayern & Real Madrid) na katika michuano yote hiyo aliyopoteza timu yake ilionyesha kiwango kizuri japokuwa alikuwa na wachezaji wa kawaida.
Wewe umeshindwa kufika fainali, tena umetolewa na Sevilla, ukiwa na beki ghali duniani (Maguire) na kiungo ghali duniani (Pogba).
Mtu kama huyo hata tukisema tumpe Messi, Mbappe, Neymar, Ronaldo.. Hana atakachokifanya, usijidanganye!
Subiri mwisho wa Dirisha la Usajiri , nyie simnaleta utaniHahahaha Aaron ni aina ya watu ambao watakupa uwakika wa kitu uku akijua kabisa ni hope tu anakupa
Eti Aaron Arsenal si kweli??
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app


Lukaku mwafrika pia.Dzeko mzungu Ighalo mwafrika
Ole mbaguzi wa rangi kichwa chake.Huyu ndio yule Lukaku ambaye alikuwa anatukanwa hapa tunaambiwa Martial/Rashford ni washambualiaji bora kuliko yeye
United made big mistake kumuuza
Aron si ndiyo huwa anasajili wachezaji wa Arsenal Jamii Forum mkuu sasa lawama atatupiwa nani ?Kule kwetu lawama zote tunamtupia aron
Talent nyingi za America ya kusini hazijawahi kuwa na mafanikio United na wengi huchelewa sana kusettle.Tangu mwanzo nimekuwa nikiamini kuwa waingereza ndani ya united ndio kansa yenyewe. Angalia kuanzia mishahara yao,mikataba yao mirefu,back up wanayopata kutoka kwenye media za nyumbani,hawafanyiwi subs pindi wanapokuwa off na la muhimu kabisa hawana ufundi ndani ya uwanja.
Wakati mwingine naombea huyu Sancho naye deal lake life tupate talent ya America ya kusini au ulaya mashariki tutapona huu ujinga unaoendelea hapa