Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Yaani nyie watu bhanaAron si ndiyo huwa anasajili wachezaji wa Arsenal Jamii Forum mkuu sasa lawama atatupiwa nani ?


Dirisha likifungwa mje muhesabu wamekuja wangapi ...
Yaani nyie watu bhanaAron si ndiyo huwa anasajili wachezaji wa Arsenal Jamii Forum mkuu sasa lawama atatupiwa nani ?


Waamerika kwa man u huwa hawaperfom ,Talent nyingi za America ya kusini hazijawahi kuwa na mafanikio United na wengi huchelewa sana kusettle.
Na sababu hazijulikani ni kwanini hatuna bahati na hao jamaa, wengine wanadai hali ya hewa ya jiji la Manchester ni kikwazo kikubwa sana kwao.Waamerika kwa man u huwa hawaperfom ,
Hata Fred anajitahid sana
Huwa nikipita uzi wa Arsenal mashabiki wenzako wanakuulizia tunamsajili nani.Yaani nyie watu bhana
Dirisha likifungwa mje muhesabu wamekuja wangapi ...




Hahaaa mm natoa updates zinazotokea kila siku kakaHuwa nikipita uzi wa Arsenal mashabiki wenzako wanakuulizia tunamsajili nani.
Na kila taarifa ya usajili unaweka wewe tu ndiyo maana tunajua usajili wa Arsenal huwa unafanya wewe![]()
Nilisema Man united kumkosa Halland ilikuwa kosa kubwa sana yule ni pure striker tunayemhitaji pale united na anayeweza kutupa mafanikio kwa miaka 10 ijayo leo hii ukiwafuata Dortmund wakuuzie Halland lazima utoboke 100M.Lindeloef ametucost games zaidi ya 9 na hivi karibuni game ya southampton goli la 2 na hata game ya jana pia ametucost, amekuwa anajisahau sana
Bissaka ametucost sana jana sijaona amecheza kitu gani, na naona hizi kelele za mashabiki kuwa apande kushambulia zimemchanganya hata ile quality yake ya kukaba imeanza potea na anakamatwa akiwa off position mara kadhaa mfano goli la kwanza......
Kiufupi kwa upande wangu kwa kuangalia approach ya timu, naona tulicheza vizuri tu tulicreate nafasi nyingi ila tukashindwa kufunga mfano ile nafasi ya dakika ya 46 rashford anafanya blunder ya ajabu wakati ilikuwa inabidi atishie kama anaingia then ndani afinye kushoto apige......
Bado tunahitaji striker i think Haaland alikuwa mtu sahihi sana ili rashford na martial wakomae huko kushoto washindane na kulia washindane sancho na greenwood.....
Lindeloef na bissaka tunasafari ndefu kufika nao salama
Hao huwa hawatambi wakiwa utd cz jina la tm linawazd kimo na mtu asiniambie kuhusu mfumo mana km unajua unajua tu itabaki tu kusema kocha kazingua kwenye mfumo but cc mashabiki hatutakugusa cz unajua, nikija kwenye suala la lukaku cwezi na sitokuja kujuta kumpiga chini cz ni average player ameenda kwenye ligi ya saizi yake so ni lazima aonekane mtu lkn ni mimavi tu.Hivi leo ndo tunatafuta natural number 9?
Kwamba Martial anafaa kutokea pembeni.View attachment 1540896
Angeweza kumsajili Ighalo ?Ole mbaguzi wa rangi kichwa chake.
Co lazima waamerika wa Brazil au Argentina tuchukue hata waamerika wa ulaya Spain au Portugal mbn wanafanya vzr tu utd.Talent nyingi za America ya kusini hazijawahi kuwa na mafanikio United na wengi huchelewa sana kusettle.
Ni kweli mkuuHao huwa hawatambi wakiwa utd cz jina la tm linawazd kimo na mtu asiniambie kuhusu mfumo mana km unajua unajua tu itabaki tu kusema kocha kazingua kwenye mfumo but cc mashabiki hatutakugusa cz unajua, nikija kwenye suala la lukaku cwezi na sitokuja kujuta kumpiga chini cz ni average player ameenda kwenye ligi ya saizi yake so ni lazima aonekane mtu lkn ni mimavi tu.
Co kweli mbn wanafanya vzr huko urusi na kuna baridi kuliko England.Na sababu hazijulikani ni kwanini hatuna bahati na hao jamaa, wengine wanadai hali ya hewa ya jiji la Manchester ni kikwazo kikubwa sana kwao.
Best option ni East Europe wachezaji wale wanafit vizuri sana kwenye football culture ya united na wengine ni physical hapa Man united siku hizi hatuna wachezaji physical wengi ni rojorojo sana.Co lazima waamerika wa Brazil au Argentina tuchukue hata waamerika wa ulaya Spain au Portugal mbn wanafanya vzr tu utd.
Basi kutakuwa na sababu zingine ambazo hatuzielewi kwanini wengi hawaperform sana?Co kweli mbn wanafanya vzr huko urusi na kuna baridi kuliko England.
English bias. Pumbavu kabisa.View attachment 1539940
Wkt mwngne huwa naona maneno ya mzee Wenger yanaishi kichwani mwangu kuhusu kusajili wachezaji wenye majina kwa pesa nyingi wkt sokoni kuna wachezaji wengi tu wasio na majina lkn uwezo ule ule, mfano tazama Leipzig ina wachezaji wengi wasiojulikana lkn kimpira unakuta wanaupiga mwingi kuliko tm nyingi zenye wachezaji wenye majina tatizo hapo ni kuwa na scouting yenye jicho la mwewe.Nilisema Man united kumkosa Halland ilikuwa kosa kubwa sana yule ni pure striker tunayemhitaji pale united na anayeweza kutupa mafanikio kwa miaka 10 ijayo leo hii ukiwafuata Dortmund wakuuzie Halland lazima utoboke 100M.
Sokoni kuna wachezaji wachache sana wenye vipaji vikubwa siku hizi na kumpata unahitaji pesa kubwa sana kupoteza opportunity ya kumsajili yule dogo kisha tukaenda China kuchukua Septuagenarian lilikuwa tusi kubwa sana kwa united.
EPL striker pekee ambaye ni level ya united ni Harry Kane tu walau na Raul Jimenezi kama back up striker wengine wote siyo level ya united.
Ukija wing ya kulia kuna wachezaji mmoja tu anayeweza kuwa daraja la united naye ni Moh Salah pengine labda na Bernado Silva.
Hapo ndiyo unaweza kujua how far hatujafikia hatua ya kuota mafanikio.
Msimu ambao tutaanza kuona makombe ni 2021/ 2022 hapa ndiyo chemistry ya timu na huenda wachezaji anaowataka watakuwa wamekamilika.
Man u kuna tatizo sn kuhusu viwango vya wachezaji kwa miaka ya hv karibuni, yn unakuta mchezaji akija ana perform vzr lkn miez kadhaa mbele naye anageuka average player ss cjui wanapigana misumari pale, hata Bruno utakuta mcm ujao anageuka lingard.Basi kutakuwa na sababu zingine ambazo hatuzielewi kwanini wengi hawaperform sana?
Hii ya south American talents ni la siku nyingi sana.Man u kuna tatizo sn kuhusu viwango vya wachezaji kwa miaka ya hv karibuni, yn unakuta mchezaji akija ana perform vzr lkn miez kadhaa mbele naye anageuka average player ss cjui wanapigana misumari pale, hata Bruno utakuta mcm ujao anageuka lingard.
Lukaku kashapigaga goli 25 za EPL kila Msimu kwa Misimu miwili EPL Nani pale United ana hizo goli ?Hao huwa hawatambi wakiwa utd cz jina la tm linawazd kimo na mtu asiniambie kuhusu mfumo mana km unajua unajua tu itabaki tu kusema kocha kazingua kwenye mfumo but cc mashabiki hatutakugusa cz unajua, nikija kwenye suala la lukaku cwezi na sitokuja kujuta kumpiga chini cz ni average player ameenda kwenye ligi ya saizi yake so ni lazima aonekane mtu lkn ni mimavi tu.