sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hamna kitu pale
Manchester hawana motiveshen kabisaaa. Yan wanachez cheza tuuu
Manchester hawana motiveshen kabisaaa. Yan wanachez cheza tuuu
Si mnae Ighalo![]()
Si mnae Ighalo![]()
Piga hao
Huu ndio ukweli, fullback za kisasa ni baller ,sio kupiga tackling tuIla wakuu pia tuache kudanganya..huyu bissaka nae hatoshi kuichezea utd..ni mchezaji mzr lkn wa timu ndogo