Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa Mara ya kwanza naona mtu ana mapenzi na Kocha kiasi hichi.....
Asa ukijiuliza kwa Mourinho anapenda nn hupati jibu.
Inashangaza sana anampenda Mourinho halafu anamchukia Solkjaer kisa alipewa kazi ya Mourinho.

Mourinho kahamia Spurs badala amfuate huko Spurs kila siku yupo jukwaa la Man United kuleta shobo.
 
Alishamfuata huko lakini kila siku yuko jukwaa la Man u kuleta shombo.
Acha kuwashwa washwa, Man Utd is my favorite team and Mourinho is my best manager of the the times. Ukitaka anzisha timu yako ndio uwapangie watu ni kipi cha kuandika.
 
Acha kuwashwa washwa, Man Utd is my favorite team and Mourinho is my best manager of the the times. Ukitaka anzisha timu yako ndio uwapangie watu ni kipi cha kuandika.
Unatafuta mabwana wewe.
Vipi Mourinho hakuridhishi siku hizi ?
 
Wewe na huyo jamaa mwingine mnakuwa SI Unit za ujinga, katika post yangu ni wapi nilimtaja Mourinho??
Punguza mahaba kaka..

Ole yupo kwenye wheels no matter what na ametupa confidence kiasi fulani kushinda makocha wengi post fergie japo kuwa namba bado hazijakaa sawa,there is no way tungeendelea na Mourinho wako with his boring football
 
Tukubali hilo kuwa ni viazi mkuu ...
Lakini labda wao hawapigwi kutokana na kuwa Uhitaji wao sio mkubwa sana (sisi kila nafasi inashida)
Tatizo letu kubwa wachezaji wa kingereza ndo wanaleta inflation pale united. Tunauabudu uingereza kuliko mahitaji ya timu.

Haiingii akilini unamnunua Maguire kwa £80M wakati ulikuwa unaweza kupata option nyingine kwa nusu bei. Unamuongeza mkataba Phill Jones, unashindwa kumuuza Jesse.

Matatizo yalianza pale unapompa Rooney 250K kwa week. Kutoka hapo kila mmoja lazima atake cha juu. Hadi DeGea sasa anataka mshahara mkubwa na kuleta uzembe wa kijinga.

Management ya United ivunjwe, iletwe mpya, wachezaji washushwe mishahara. Atakaetaka kubaki abaki, anaetaka kuondoka mlango uwe wazi. Recruitment staff walete wachezaji wanaohitajika kwa bei sahihi na aletwe kocha sahihi.

Tofauti ya hapo tunageuka kuwa Liverpool mpya.
 
Hiv bayern akibeba UEFA halafu timu yetu ikibeba EUROPA ....hivi hatutakutana na dhahama kweli wakuu..maana wale jamaa ni kwikwi
 
1597487053326.png


Huyo jamaa anaitwa Shon Weissman na ana miaka 24 akichezea Wolfsburg ligi aliyotokea Earling Haaland

Kacheza mechi 39 na kafunga mabao 37 ila pia katoa assists 5 msimu wa 2019/2020,, baada ya kutokea israel na kujiunga na wolfsburg.

Anafaa kumpa challenge Martial na Rashford, sasa Sijui Man u wanakuwa hawaoni
 
Tatizo letu kubwa wachezaji wa kingereza ndo wanaleta inflation pale united. Tunauabudu uingereza kuliko mahitaji ya timu.

Haiingii akilini unamnunua Maguire kwa £80M wakati ulikuwa unaweza kupata option nyingine kwa nusu bei. Unamuongeza mkataba Phill Jones, unashindwa kumuuza Jesse.

Matatizo yalianza pale unapompa Rooney 250K kwa week. Kutoka hapo kila mmoja lazima atake cha juu. Hadi DeGea sasa anataka mshahara mkubwa na kuleta uzembe wa kijinga.

Management ya United ivunjwe, iletwe mpya, wachezaji washushwe mishahara. Atakaetaka kubaki abaki, anaetaka kuondoka mlango uwe wazi. Recruitment staff walete wachezaji wanaohitajika kwa bei sahihi na aletwe kocha sahihi.

Tofauti ya hapo tunageuka kuwa Liverpool mpya.
Pale kwa maguire tulipigwa kabisa...halafu sioni sababu ya kocha kuhangaika na wachezaj wa kiingereza pale.....anapaswa kwenda ulaya mashariki na south america kuna vipaj ving sana tena kwa bei chee kabisa
 
Muda wa usajili mpaka mwezi October huko haraka ya nini ?

Tutasajili tu lakini kusajili peke yake hakukupi kikosi imara unahitaji kutengeneza chemistry ya team ambayo it takes time.

Man United last season tulifika quater final kwa kikosi dhaifu kuliko hiki sasa hiki.

Tukumbuke pia timu za germany zimepata muda mrefu wa kujiandaa kuliko zingine kwa sababu ya kumaliza ligi mwezi wa sita huko.
Serious mzee wangu unauliza haraka ya nini kwenye usajili?
 
Hukusoma kumenti yangu, nilichokisema hakikumgusa Mourinho sasa nashangaa kumsikia anatajwa.
Punguza mahaba kaka..

Ole yupo kwenye wheels no matter what na ametupa confidence kiasi fulani kushinda makocha wengi post fergie japo kuwa namba bado hazijakaa sawa,there is no way tungeendelea na Mourinho wako with his boring football
 
Back
Top Bottom