Wachezaji wa kingereza wenye vipaji walishaisha enzi za kina Rooney na Beckham.Pale kwa maguire tulipigwa kabisa...halafu sioni sababu ya kocha kuhangaika na wachezaj wa kiingereza pale.....anapaswa kwenda ulaya mashariki na south america kuna vipaj ving sana tena kwa bei chee kabisa
Tunaivunja nyumba yetu sisi wenyewe.Bavaria,
Tuna mitizamo inayofanana sana, kuna kipindi niliwahi kuandika hapa kwamba sisi tuna watendaji wakuu wa juu wabovu sana wakiongozwa na Ed Woodward.
Ed, yupo smart on business persipective ila as a football executive ni hovyo sana. And worse part, board yetu nzima ina watu 12, sita ni familia ya Glazer na hawa sita wengine wakiwemo wakurugenzi huru wasio na uelewa na masuala ya mpira wengi ni watu wa mitindo na fedha. Just imagine una bodi ya wakurugenzi wanaojua kusoma financial statements na business strategy zaidi kuliko mpira. Ni sawa na kampuni ya mafuta na gesi au ya magari ijaze football executives ktk bodi yao.
Hii ndio bodi yetu ya wakurugenzi wanaoamua nani aje au nani asije maana ndio wanaoidhinisha cheque isainiwe na Ed Woodward. Hawa wanaamini kila tatizo ni kurusha pesa tu and they are not timely benchi la ufundi likitaka watu kwa wakati, hawa ndio wana-inflate hata viwango vya mshahara vya wachezaji. Mshahara wa kulipa watu wawili kama Bruno analipwa mchezaji mmoja, mwisho wa siku mnakuwa hamuwezi ku-accommodate vipaji vingi kwa wakati mmoja kila mtu anataka kulipwa sana.
Huyu hamna hata maelezo amefika nafasi hii kwa urafiki wa yeye na familia ya Glazer na sio kwa uwezo wake kama Peter Kenyon au David Gill. Ni mzuri kibiashara ila sio uendeshaji wa klabu ya mpira.
- Ed Woodward - Makamu mwenyekiti nz & Mkurugenzi
Huyu amesoma darasa moja na Ed chuo kikuu cha Bristol 1990 -1993 (yeye ana shahada ya baolojia na Ed, fizikia) na wakaenda kufanya kazi pamoja auditing firm ya PwC baada kuhitimu chuo kikuu mwaka 1993 mpaka 1999. Hata mitihani ya uhasibu walifanya pamoja mwaka 1996. Amekaa hii nafasi kiushikaji, ni mshikaji wake toka ujanani. Uelewa wake wa mpira ktk bodi ni kama mshikaji wake ED tu, Don't bother to ask!
- Richard Arnold - Mtendaji mkuu & Mkurugenzi
Huyu sio tatizo, yeye ni fedha tu.
- Cliff Baty - Mkurugenzi/Fedha
Uzoefu zaidi ya miaka 30 ktk masoko ya mitaji na uunganishaji wa mabenki, Nafasi yake ya kwanza kuwepo ktk bodi ya timu ya soka.
- Robert Leitão - Mkurugenzi huru
Umri wake miaka 62, uzoefu zaidi ya miaka 35 anafanya kazi ktk fashion. Nafasi yake kwanza kwake kuwepo ktk bodi ya timu ya soka.
- John Hooks - Mkurugenzi huru
Umri miaka 51, zaidi ya miaka 26 ktk media, kidogo alikuwa mkurugenzi wa ESPN Star sports. Na yy same WhatsApp group na hao wengine.
- Manu Sawhney - Mkurugenzi huru
Hoja yangu juu ya hawa wakurugenzi hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kusimama na kocha akihitaji watu kwa wakati ili awe fasta kufanya programmes zake. Mwisho wa siku analetewa watu nje ya wakati wengi hawaoni umuhimu wa kuwa timely ktk usajili. Ukiwa unavuta vuta kasi unafanya usajili when you're desperate kila mtu ana-take advantage unabambikiwa bei na unaleta mtu mmoja badala labda ya watu watatu.
Jamani kwa jirani kunaungua huko.

na zima moto hazina maji, acha paungue tuYaani jana na leo nina raha ya ajabu.na zima moto hazina maji, acha paungue tu

Kama mimi aiseeYaani jana na leo nina raha ya ajabu.![]()
![]()
![]()

Yule bado si anajifanyaga kuwa anaangali ball possession badala ya ubao unasomaje kimatokeo? yani leo ni bonge la usingizi mnono kwakweli maana si kwa raha ya matokeo ya UEFA niliyoyapata jana na leo.Pep kwisha habari yake..
Liverpool walituacha 33 pointsTungeongeza quality kwenye kikosi chetu,msimu ujao tungekuwa title contender mapema sana ila bodi inazingua
I'm pretty sure Liverpool na City hawatakuwa na same rythm na kama tuki-close gap kidogo tutaenda nao toe to toe
City wamekuwa na msimu mbovu pia kwenye ligi,wamefungwa mechi nyingi tu.Liverpool walituacha 33 points
City walikuwa na msimu mbovu baada ya kukosa champions league they will come back stronger
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Licha ya kuwa wabovu still walituzidi 15 points Pep alifanya mistake ku-tofanya replacement ya Kompany na kumchezesha Fernandinho as CBCity wamekuwa na msimu mbovu pia kwenye ligi,wamefungwa mechi nyingi tu.
Tukiongeza quality kama tatu na Ole aka-up his game kidogo,we may challenge this..
Tumecheza bila Pogba na Martial baada ya mechi chache tu za kwanza za msimu..na hapa ndo tulipoharibu..wangekuwa fit hilo gap lisingekuwa hivi..Either way,tunahitaji kuimarisha kikosi agressivelyLicha ya kuwa wabovu still walituzidi 15 points Pep alifanya mistake ku-tofanya replacement ya Kompany na kumchezesha Fernandinho as CB
Baada ya kushinda kesi against UEFA they will spend more this season and they know how to spend
it's clear Sane,Silva,Garcia,Stones,Otamendi wanaondoka tayari wameshajili 2 players
Msimu huu muda wa preseason ni mchache sana EPL inaanza 12 September zimebaki siku 28
Liverpool,City, Chelsea walishafanya usajili wao muhimu as usual United will negotiate zaidi ya mwezi kusajili mchezaji mmoja
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Msimu uliopita Man city walipoteza mechi nyingi kuliko tulizopoteza sisi ila sisi tulipata sare nyingi sana.Licha ya kuwa wabovu still walituzidi 15 points Pep alifanya mistake ku-tofanya replacement ya Kompany na kumchezesha Fernandinho as CB
Baada ya kushinda kesi against UEFA they will spend more this season and they know how to spend
it's clear Sane,Silva,Garcia,Stones,Otamendi wanaondoka tayari wameshajili 2 players
Msimu huu muda wa preseason ni mchache sana EPL inaanza 12 September zimebaki siku 28
Liverpool,City, Chelsea walishafanya usajili wao muhimu as usual United will negotiate zaidi ya mwezi kusajili mchezaji mmoja
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Goodkila la kheri tahith Chong,
kipaji unacho ila ukazanishe mwili wako ili uje umuondoe goi goi asiyependa kudribble
View attachment 1539031