Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Paul Pogba teasing United fans with this one... [emoji102]
#GGMU★
IMG_20200811_223650_019.jpeg
 
Yani we jamaa muoga sasa unawaogopa wolves wana nini cha maana
Katika mechi 6 dhidi ya Wolves tumefunga goli 4 na tumeshinda game 1 tu ya msimu huu.

Wanakaba vizuri na ni ngumu kuvunja ukuta wao. Hawatumii nguvu kubwa kushambulia badala yake wanakaba kuanzia kati. Kwa mechi hizi za mtoano Wolves wanakupapasa wakiona wameshindwa wanakupeleka ET hadi matuta halafu wanamsimamisha Patricio.
 
Nilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..

Ok semi final mnacheza lini? Nataka nianze mikakati yangu mapema..[emoji3][emoji3][emoji3]

#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Mkuu yaani upo kama mchwa vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..

Ok semi final mnacheza lini? Nataka nianze mikakati yangu mapema..[emoji3][emoji3][emoji3]

#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
wapiga ramli utawajua tu sasa mikakati gani hiyo
[emoji53] [emoji53] [emoji53]
 
Back
Top Bottom