Sawa ambarutiWeee mbwa nani kakwambia tunarudiana?
Ushajiuliza why waliongeza dakika 30?
Najua mnaniheshimu sana. Ilo sipingiOllachuga ana heshimika kwa kukimbia timu yake inavyofungwa.
Mengine hayo unamsingizia
Yani we jamaa muoga sasa unawaogopa wolves wana nini cha maanavs SEVILLA
Bora hawa kuliko Wolves.
BANEGA na SUSO waundiwe kamati ya roho mbaya.
Wolves walijitakia wenyewe kufungwa huwezi kujilinda kwa dakika 90 wakati hauna goli lolote sasa walikuwa wanalinda nini ???vs SEVILLA
Bora hawa kuliko Wolves.
BANEGA na SUSO waundiwe kamati ya roho mbaya.
Technic ya Mwalimu hiyo mashambulizi ya kushtukizaWolves walijitakia wenyewe kufungwa huwezi kujilinda kwa dakika 90 wakati hauna goli lolote sasa walikuwa wanalinda nini ???
Hata kushitukiza wameshindwa wameishia kupigiwa mwingi.Technic ya Mwalimu hiyo mashambulizi ya kushtukiza
Katika mechi 6 dhidi ya Wolves tumefunga goli 4 na tumeshinda game 1 tu ya msimu huu.Yani we jamaa muoga sasa unawaogopa wolves wana nini cha maana
Ndiyo mbinu zao mkuu. Hapo walikuwa wanasubiri kuotea wapite. Mechi kama hizi za knockout mbinu ni muhimu sana ila zikifeli ndo imekula kwenu.Wolves walijitakia wenyewe kufungwa huwezi kujilinda kwa dakika 90 wakati hauna goli lolote sasa walikuwa wanalinda nini ???
Hiyo mbinu ilifeli first half tu second half wangejaa kwenye midfield huyo Banega asingetawala hivyo.Ndiyo mbinu zao mkuu. Hapo walikuwa wanasubiri kuotea wapite. Mechi kama hizi za knockout mbinu ni muhimu sana ila zikifeli ndo imekula kwenu.
Mkuu yaani upo kama mchwa vileNilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..
Ok semi final mnacheza lini? Nataka nianze mikakati yangu mapema..
#CFC![]()





Tatizo kipigo cha Arsenal kilikukimbizia jikoni ukasahau kufuatilia mpira.Aseee akuna mtu anafwatilia mpira duniani kama mimi
Man U tunampiga Sevilla
Inter anapigwa na shaktar
Tunakutana fainali tunamfunga Shaktar,tunabeba ndoo!!
GGMU GGMU GGMU!



subiria hiyo miujiza itokeewapiga ramli utawajua tu sasa mikakati gani hiyoNilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..
Ok semi final mnacheza lini? Nataka nianze mikakati yangu mapema..
#CFC![]()

Mara zote game za mtoano huwa ni ngumu hata ucheze na timu unayodhani ni ndogo. Wanasema kunakuwa hakuna cha kupoteza, ufungwe 10 au moja utatokaNa work rate pia hairidhishi
Hata mini sikumuelewa kocha wao alitaka nini.Wolves walijitakia wenyewe kufungwa huwezi kujilinda kwa dakika 90 wakati hauna goli lolote sasa walikuwa wanalinda nini ???