Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huo ni mtazamo wangu mzee...ukikimbilia UEFA wkt timu yako mbovu unategemea nini!??

Team za london against Bayern Munich

Chelsea alikula 7-1
Spurs 7-2
Arsenal akala 10-2

Ss wewe jipeleke wkt hujakamilika uone utakachofanywa.
Inamaana London teams ni bora kuliko utd wakati huu?
 
Jipe moyo tu..
Man utd sio ELITE kama ilivyokuwa thats why tunataka rebuild nzuri kwa wachezaji sahihi na Champios league sio lelemama bro!
Usitupangie



Usitufokee




Kumbuka tumeshika nafasi ya 3 na Europa tuko semifinal Endeleeni kupiga Ramli chonganishi
 
Usitupangie



Usitufokee




Kumbuka tumeshika nafasi ya 3 na Europa tuko semifinal Endeleeni kupiga Ramli chonganishi
Acha kupaniki ww
Me mwnyw ni shabiki wa utd na kwenye ukweli lazima tuongee

Ukweli unamuweka mtu huru.
 
Acha kupaniki ww
Me mwnyw ni shabiki wa utd na kwenye ukweli lazima tuongee

Ukweli unamuweka mtu huru.
huyo bayern tumekutana nayo tukiwa na kocha mbovu moyes hakutupiga hzo goli unafikiria mpiga hauna mahesabu yako mbona stats za mechi ya jana sio mbaya mkuu
 
Mechi ya jana kila shabiki wa soka ali underestimate uwezo copen (copen walirelax sana)hata wachezaji wetu walionekana kupaniki fulani zile dakika za lalasalama maana walijua game itakwisha mapema(I hope wamejifunza kitu)

Ole aendelee kuwafundisha vijana team work hususani rashford bado anakua mbinafsi mazingira ambayo sio lazima kuwa hivyo.

Itakua faraja sana kuingia fainali na inter then kumtoa.
 
Mechi ya jana kila shabiki wa soka ali underestimate uwezo copen (copen walirelax sana)hata wachezaji wetu walionekana kupaniki fulani zile dakika za lalasalama maana walijua game itakwisha mapema(I hope wamejifunza kitu)

Ole aendelee kuwafundisha vijana team work hususani rashford bado anakua mbinafsi mazingira ambayo sio lazima kuwa hivyo.

Itakua faraja sana kuingia fainali na inter then kumtoa.
Na work rate pia hairidhishi
 
Mechi ya jana kila shabiki wa soka ali underestimate uwezo copen (copen walirelax sana)hata wachezaji wetu walionekana kupaniki fulani zile dakika za lalasalama maana walijua game itakwisha mapema(I hope wamejifunza kitu)

Ole aendelee kuwafundisha vijana team work hususani rashford bado anakua mbinafsi mazingira ambayo sio lazima kuwa hivyo.

Itakua faraja sana kuingia fainali na inter then kumtoa.
Pia golikipa wao Karl-Johann Johnsson's ' alionesha uwezo Mkubwa pengine asingekua yeye game tungemaliza mapema sana
 
Mechi ya jana kila shabiki wa soka ali underestimate uwezo copen (copen walirelax sana)hata wachezaji wetu walionekana kupaniki fulani zile dakika za lalasalama maana walijua game itakwisha mapema(I hope wamejifunza kitu)

Ole aendelee kuwafundisha vijana team work hususani rashford bado anakua mbinafsi mazingira ambayo sio lazima kuwa hivyo.

Itakua faraja sana kuingia fainali na inter then kumtoa.
Tukumbuke pia hawa jamaa walidefend kwa two blocks.( ugonjwa wa Solkjaer) tulitengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini hatukuzitumia, striking force yetu haikuwa creative kabisa.
 
Pia golikipa wao Karl-Johann Johnsson's ' alionesha uwezo Mkubwa pengine asingekua yeye game tungemaliza mapema sana
Golikipa wao alifanya saves nyingi sana pia, tulikuwa hatufanyi quick transition kutoka defence kwenda final third yao.

All in all hii ni tournament what matters ni matokeo haijalishi tumeyapataje.
 
Huyu Admin wa hii page nahisi ni Manara wa Ulaya

Zorc: “We are planning with Jadon. Jadon will play for Dortmund next season. That decision, as agreed with CEO Watzke, is final.”

Sky: “Is there a scenario where this could change?”

Zorc: “No!”
 
After the final wisel

Copenhagen captain (CC)walking along with BF: Thank u very much for everything you have been doing for Manchester United

Ole: Oh...we are trying to get it back, he is helping me (pointing on Bruno)

CC: Yeah, he is amazing (on Bruno)

Itaendelea...
 
Back
Top Bottom