Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Jana sikupenda kocha alivyo mtoa Eric Bailly bora angetoka Maguire sikuona mchqngo wake jana watu hawawezi kuonq makosa ya Maguire sababu yakikuwa yana tatuliwa na bwana Bailly.
Pia Fred walimuonea sikuona sababu ya kumtoa maana hata Matic jana sikuona mchango wake ki viile.
Rashid makame nae alipaswa atoke kuanzia dakika ya 64 lakini kadumu mpaka mwisho sjui alikuwa anafanya nini maana mipira yote jana ilikuwa inaharibikia kwake na Bissaka.
Jana Timu Pinzani walikuwa wamechoka kama mbwa mkimbizi kama yule captain wao alikuwa anajilazimisha tu ko angetoka Rashid makame akaingia hata Dogo James angenikimbizia pale nazani angezarisha hata goli 2★
Pamoja na kufanya makosa ya mara kwa mara (yalitu frustrate wote)

Kuna wakati alishindwa kukadiria nguvu ya pasi

Lakini Bruno ndio mchezaji aliyemfanya kipa wa Copenhagen kuwa bize zaidi jana, amegonga miamba na ana shots on target nusu ya shots on target zote za United.

Hapo sijataja mchango wake kwenye kufungua goli (sio kila mchezaji ana kuhakikisha goli timu yako inapopata tuta)

Bruno ni udropable kwa sasa

Bailly pia alikuwa superb
 
Bruno Fernandes has been directly involved in more goals in all competitions than any other PL player since his Man Utd debut on February 1 – 19 in 21 appearances (11 goals, 8 assists)

Bruno Fernandes vs FC Copenhagen

104 touches
71.1% passing accuracy
6 duels won
4 shots on target
3 key passes
3 fouls drawn
1 tackle
1 goal

Europa League top scorer

manutd |
#GGMU
IMG_20200811_113916_639.jpeg
 
Bruno Fernandes has been directly involved in more goals in all competitions than any other PL player since his Man Utd debut on February 1 – 19 in 21 appearances (11 goals, 8 assists)

Bruno Fernandes vs FC Copenhagen

104 touches
71.1% passing accuracy
6 duels won
4 shots on target
3 key passes
3 fouls drawn
1 tackle
1 goal

Europa League top scorer

manutd |
#GGMUView attachment 1533865

Top scorer from twelve yard 😂😂😂😂
 
★Jana sikupenda kocha alivyo mtoa Eric Bailly bora angetoka Maguire sikuona mchqngo wake jana watu hawawezi kuonq makosa ya Maguire sababu yakikuwa yana tatuliwa na bwana Bailly.
Pia Fred walimuonea sikuona sababu ya kumtoa maana hata Matic jana sikuona mchango wake ki viile.
Rashid makame nae alipaswa atoke kuanzia dakika ya 64 lakini kadumu mpaka mwisho sjui alikuwa anafanya nini maana mipira yote jana ilikuwa inaharibikia kwake na Bissaka.
Jana Timu Pinzani walikuwa wamechoka kama mbwa mkimbizi kama yule captain wao alikuwa anajilazimisha tu ko angetoka Rashid makame akaingia hata Dogo James angenikimbizia pale nazani angezarisha hata goli 2★
Substition ina sababu nyingi, najua unajua hilo.

Kuepusha mchezaji asipate kadi ya pili ya njano(baily yuko likely kuwa booked kuliko Maguire.
 
Na wewe usishushe heshima yako unaheshika jukwaa hili jiheshimu. Aliyekwambia Man U walikuwa nyumbani nani? Au walivyoandikwa kushoto ukajua ndo home team? Halafu umeambiwa kuna marudiano? Hao ndo wameondoka hivyo.
Nilikuwa sijui mzee tunaeleweshana tu..

Ok semi final mnacheza lini? Nataka nianze mikakati yangu mapema..

#CFC
 
Back
Top Bottom