Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Japo nakubaliana na wewe, Ila Manchester haipo kwenye level ya kuicheka Arsenal kwa sasa. Haujabeba Epl since 2013 ni miaka 7 hiyo.Haya mambo huanza hivihivi unakuta miaka 20 imefika.Nina uhakika unajua msimu ujao huna uwezo wa kuchukua na akina Maguire na De Gea.

Level zako Ulaya ni EUROPA unajua hilo.Ukibahatika kufika round ya 2 UEFA ukikutana na akina Bayern unajua fika unatoka.

Arsenal na Man kwa sasa hakuna wa kumcheka mwenzake tumebaki kuhangaika na Europa na FA.
Mara ya mwisho Arsenal kucheza UCL ilikuwa lini ?

Man United alicheza UCL 2018-2019 akaishia quater final.

Nakumbuka the last time Arsenal kacheza UCL alitolewa na Borussia Dortmund kwenye round of 16 timu ambayo before isingeweza kuitoa Arsenal kwenye UCL.
 
Japo nakubaliana na wewe, Ila Manchester haipo kwenye level ya kuicheka Arsenal kwa sasa. Haujabeba Epl since 2013 ni miaka 7 hiyo.Haya mambo huanza hivihivi unakuta miaka 20 imefika.Nina uhakika unajua msimu ujao huna uwezo wa kuchukua na akina Maguire na De Gea.

Level zako Ulaya ni EUROPA unajua hilo.Ukibahatika kufika round ya 2 UEFA ukikutana na akina Bayern unajua fika unatoka.

Arsenal na Man kwa sasa hakuna wa kumcheka mwenzake tumebaki kuhangaika na Europa na FA.
Na hata hiyo FA inawashinda
 
Mara ya mwisho Arsenal kucheza UCL ilikuwa lini ?

Man United alicheza UCL 2018-2019 akaishia quater final.

Nakumbuka the last time Arsenal kacheza UCL alitolewa na Borussia Dortmund kwenye round of 16 timu ambayo before isingeweza kuitoa Arsenal kwenye UCL.
Unazungumzia Mara ya mwisho kucheza? Mbona huzungumzii nimecheza miaka mingapi mfululizo bila kukosa?

Au miaka mingapi sijatoka nje ya top four.

Kwa sasa Manchester na Arsenal ni matajiri tuliofilisika, tumebaki na historia na story tu.Toka 2013 unajilinganisha nini na Man City au Liverpool kwa mafaniko ndani ya Uwanja?

Labda uweke vikombe ubwabwa.
 
Mara ya mwisho Arsenal kucheza UCL ilikuwa lini ?

Man United alicheza UCL 2018-2019 akaishia quater final.

Nakumbuka the last time Arsenal kacheza UCL alitolewa na Borussia Dortmund kwenye round of 16 timu ambayo before isingeweza kuitoa Arsenal kwenye UCL.
Wewe si ulipigwa na kina Estana habari zako tunazo, ni vile tunashindwa kukucheka kwasababu tunashare levels kwasasa, ila soon ntaanza kukuzodoa

Najua kwamba unajua kuwa msimu huu sijatoka kapa, vipi wewe mwenzangu bado una nguvu za kunicheka? Naamini kuna tatizo mahali
 
Unazungumzia Mara ya mwisho kucheza? Mbona huzungumzii nimecheza miaka mingapi mfululizo bila kukosa?

Au miaka mingapi sijatoka nje ya top four.

Kwa sasa Manchester na Arsenal ni matajiri tuliofilisika, tumebaki na historia na story tu.Toka 2013 unajilinganisha nini na Man City au Liverpool kwa mafaniko ndani ya Uwanja?

Labda uweke vikombe ubwabwa.
Hana hoja huyo kafilisika kila kitu
 
Japo nakubaliana na wewe, Ila Manchester haipo kwenye level ya kuicheka Arsenal kwa sasa. Haujabeba Epl since 2013 ni miaka 7 hiyo.Haya mambo huanza hivihivi unakuta miaka 20 imefika.Nina uhakika unajua msimu ujao huna uwezo wa kuchukua na akina Maguire na De Gea.

Level zako Ulaya ni EUROPA unajua hilo.Ukibahatika kufika round ya 2 UEFA ukikutana na akina Bayern unajua fika unatoka.

Arsenal na Man kwa sasa hakuna wa kumcheka mwenzake tumebaki kuhangaika na Europa na FA.
Ukweli ni kwamba Man United naye hayuko kwenye hali yake ya zamani lakini occasionally amekuwa akitokea kwenye mashindano makubwa.

Kuhusu transfer Man united nao kuhusu kuvutia vipaji imepungua lakini financial muscles zao zinawapa uwezo wa kusajili wachezaji wanaowataka.

Hali ya matokeo uwanjani kwa Arsenal imegeuka kuwa hali ya kawaida Arsenal kufungwa na timu kubwa au ndogo siyo habari tena ushindi kwa Arsenal sasa hivi ni bahati tena siyo uwezo wa team. So sad.

Kilichoziangusha hizi timu Arsenal imeanguka kwa kukosa mwalimu sahihi ila wachezaji wazuri bado wanazalisha kama ilivyokuwa zamani.

Kilichowaangusha Man united ni kukosa succession plan nzuri iliyopelekea recruitment mbovu ya benchi la ufundi na wachezaji kwa miaka 6 mfululizo.

Tuendelee kuwa wavumilivu mpaka tutakapouona tena mkono wa bwana.
 
Ukweli ni kwamba Man United naye hayuko kwenye hali yake ya zamani lakini occasionally amekuwa akitokea kwenye mashindano makubwa.

Kuhusu transfer Man united nao kuhusu kuvutia vipaji imepungua lakini financial muscles zao zinawapa uwezo wa kusajili wachezaji wanaowataka.

Hali ya matokeo uwanjani kwa Arsenal imegeuka kuwa hali ya kawaida Arsenal kufungwa na timu kubwa au ndogo siyo habari tena ushindi kwa Arsenal sasa hivi ni bahati tena siyo uwezo wa team. So sad.

Kilichoziangusha hizi timu Arsenal imeanguka kwa kukosa mwalimu sahihi ila wachezaji wazuri bado wanazalisha kama ilivyokuwa zamani.

Kilichowaangusha Man united ni kukosa succession plan nzuri iliyopelekea recruitment mbovu ya benchi la ufundi na wachezaji kwa miaka 6 mfululizo.

Tuendelee kuwa wavumilivu mpaka tutakapouona tena mkono wa bwana.
Sajili za pesa ndefu zingekuwa ndio tija ya mafanikio basi musingesota mpaka leo,, barca nao? Mkuu mi naona ungepumzika kidogo maana ukiendelea kuongea unajidhalilisha tu... Msimu huu timu zilizofanikiwa ni 3 tu hapo England, wewe utabaki kuwa mpiga kelele

Liverpool PL
Arsenal FA
City kombe la ligi

Sasa ni vema ukakaa kwa kutulia, kwanza saa saba mchana kuna kikao cha mabingwa.

Mwenyekiti: Liverpool
Katibu: Arsenal
Man city: Mjumbe

Mtuache kidogo tuandae ajenda za kikao
 
Mkuu mi naona ungepumzika kidogo maana ukiendelea kuongea unajidhalilisha tu... Msimu huu timu zilizofanikiwa ni 3 tu, wewe utabaki kuwa mpiga kelele

Liverpool PL
Arsenal FA
City kombe la ligi

Sasa ni vema ukakaa kwa kutulia, kwanza saa saba mchana kuna kikao cha mabingwa.

Mwenyekiti: Liverpool
Katibu: Arsenal
Man city: Mjumbe

Mtuache kidogo tuandae ajenda za kikao
Kombe la FA lilishakuwa kombe la Arsenal hivyo siyo suala la ajabu kutwaa.

Wigan alitwaa kombe hilo na akashuka daraja
 
Unazungumzia Mara ya mwisho kucheza? Mbona huzungumzii nimecheza miaka mingapi mfululizo bila kukosa?

Au miaka mingapi sijatoka nje ya top four.

Kwa sasa Manchester na Arsenal ni matajiri tuliofilisika, tumebaki na historia na story tu.Toka 2013 unajilinganisha nini na Man City au Liverpool kwa mafaniko ndani ya Uwanja?

Labda uweke vikombe ubwabwa.
Toka ulipotoka huko hujawahi kurudi tena.
 
Kutengeneza tatizo halafu unalitatua

Inter ndio wamefaidika kwenye hilo deal


1.Sanchez kacheza kwa mkopo Inter for free(hakukuwa na loan fee) na majority ya mshahara wake ulikuwa unalipwa na United

2.Baada ya kutoka majeruhi Sanchez ameanza kurudi kwenye form (4goals &8 assist) in Serie A kwenye mechi 22 alizocheza so kwao wanapata mchezaji atakayewasaidia

3.Sanchez amekubali kupunguza mshahara hadi Euro 7m kwa mwaka

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
ahsante sana brother kwa uchanganuzi wako,
kama nimekuelewa vyema, madai yako ni kwamba walichotufanyia Inter milan hakina utofauti na mchezo wa kutishana kitoto..

tupeni alex sanchez bure tuwapunguzie gharama za mshahara wake (takribani gharama za jumla ya paundi millioni 50 ukichanganya na kodi) au tuwarudishie wenyewe aendelee kuchota mshahara wa bure mifano ya gareth bale au mesut ozil.

Jambo ambalo sijalielewa mpaka sasa ni hili;
imewezekana vipi kwa alex sanchez kukubali punguzo la mshahara wake kwa takribani asilimia 50 (kwa sasa net salary yake inakadiriwa itakuwa ni paundi millioni 7 kutoka paundi millioni 15) haliyakuwa kama angeliendelea kuitumikia Inter milan kwa mkopo au timu nyengine yeyote angelivuna asilimia 100 ya mshahara wake, (booka value remaining ni takribani paundi millioni 15)

tuseme alex ameongozwa na roho ya ubinadamu au kuna mchezo wa kumlipa nyuma ya pazia asilimia 50 yake ya kumvunjia mkataba?
=========================

tengeneza tatizo, tatua tatizo:
nadhani kosa letu kubwa ilikuwa ni kuruhusu hitaji lake la paundi 500,000 kwa wiki na ndiye aliyeharibu wage structures ya timu
 
Sio kila biashara huwa inatiki, nyingine ni bora kukubali nusu hasara

After all Ed hakulipa hata senti alipomtoa Arsenal
nadhani market value ya alex sanchez ilikuwa ni kubwa zaidi ukilinganisha na value ya henrikh mkhitaryan ndio maana upande wa wakala wake aliutumia udhaifu huu kwenye negotiation.

kwa ufupi dili la sanchez ni fundisho kubwa sana kwetu, muungwana ni yule anayekosea na kujisahihisha...
 
united.jpg
 
At the end, msimu umeisha kila mtu aoneshe alichopata
Acha kupiga kelele wakati huko BvB munalialia mlipe kwa installements
Kama mna pesa si mngefungua pochi

Vipi Ighalo mmelipa ngapi vile?
Sanchez anawatoa povu huko, kawapiga za kutosha, nyie ni watu wa kupigwa....

Na next season unakaa tena home and away

Onesha ulichopata msimu huu kama ni empty basi huu uliotype hapa ni utopolo tu
Mkuu kuwa sensible kidogo...msimu wenu ndio umeisha..wa kwetu bado sana..!!

Pili dili ya sancho tunalipa 120Mill..regardless kwa installment au full lkn tutatoa mzigo wote mwisho wa siku


Tatu Ni kweli Sanchez amepiga pesa ya bure lkn kumbuka hatukutoa hata mia kumnunua na hizi pesa ambazo ameshakula ni kama ada yake ya usajili kama tungemunua..meanwhile na nyie Mkhitaryan mbona amewapiga ila mnajikuta kukaa kimya..!? Kimsingi hii deal ya sanchez-mikhitaryan ilikuwa ni lose-lose

Nne sibishani na ww ila nakuweka sawa uelewe sunia inaendeleaje..km ukitaka kubishana then Am not the right guy for that big man!.
 
Kombe la FA lilishakuwa kombe la Arsenal hivyo siyo suala la ajabu kutwaa.

Wigan alitwaa kombe hilo na akashuka daraja
Ndio nini sasa? Kwahiyo hilo ndio limekufanya utolewe makusudi nusu fainal?
 
Back
Top Bottom