Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kiwa sensible...msimu wenu ndio umeisha..wa kwetu bado sana..!!

Pili dili ya sancho tunalipa 120Mill..regardless kwa installment au full lkn tutatoa mzigo wote mwisho wa siku


Tatu Ni kweli Sanchez amepiga pesa ya bure lkn kumbuka hatukutoa hata mia kumnunua na hizi pesa ambazo ameshakula ni kama ada yake ya usajili kama tungemunua..meanwhile na nyie Mkhitaryan mbona amewapiga ila mnajikuta kukaa kimya..!? Kimsingi hii deal ya sanchez-mikhitaryan ilikuwa ni lose-lose

Nne sibishani na ww ila nakuweka sawa uelewe sunia inaendeleaje..km ukitaka kubishana then Am not the right guy for that big man!.
Unajistukia tu, na kujidefend mkuu... Hutaki ubishi lakini umeanza kwa ubishi,
Unasemaje kuwa msimu wetu umeisha ila wenu bado? Msimu gani huo ambao wenzetu mupo sasa hivi...
Nimecheka sana.

Mngepumzika tu kidogo kwanza mkusanye nguvu,maana ni dhahiri hoja zimewaishia.
 
Unajistukia tu, na kujidefend mkuu... Hutaki ubishi lakini umeanza kwa ubishi,
Unasemaje kuwa msimu wetu umeisha ila wenu bado? Msimu gani huo ambao wenzetu mupo sasa hivi...
Nimecheka sana.

Mngepumzika tu kidogo kwanza mkusanye nguvu,maana ni dhahiri hoja zimewaishia.
We jamaa hujui kama sisi bado tupo EUROPA wakati nyie FA cup ndo ilikuwa mechi yenu ya mwisho!?? Au Arsenal mnacheza UEFA msimu Huu!?
 
We jamaa hujui kama sisi bado tupo EUROPA wakati nyie FA cup ndo ilikuwa mechi yenu ya mwisho!?? Au Arsenal mnacheza UEFA msimu Huu!?

Nilisahau dah, ila khaaaaaa yaani nikikumbukaga Man U ya SAF alafu nikiangalia huu utumbo huwaga nacheka sana,


Kaa ujue msimu huu mnatoka kapa.
 
Wakuu..sancho huko tayarii
Tusubiri official statement

Ila jamaa atakuwa anakula more than £300,000 kwa wiki..thats alot!! Itabidi ajitume sana otherwise atajikuta anakuwa spotlight ya critics kama enzi za pogba.
 
Following the footsteps
Screenshot_20200804_155530_com.twitter.android.jpeg
 
Hivi lingard...perreira na phil jones hatuwazi?? Maana wale ni mizigo kwa sasa. Inabidi tuwatoe hata onloan huko italy wakajaribu bahati zao.

Welcome Sancho
 
Wakuu..sancho huko tayarii
Tusubiri official statement

Ila jamaa atakuwa anakula more than £300,000 kwa wiki..thats alot!! Itabidi ajitume sana otherwise atajikuta anakuwa spotlight ya critics kama enzi za pogba.
Media za UK zitambeba..si unajua ni mtoto wa nyumbani??
 
MAMBO ni moto, Manchester United imefikia muafaka wa makubaliano binafsi na wawakilishi wa winga wa kimataifa wa England anayecheza Borussia Dortmund, Jadon Sancho na imeelezwa kuwa mazungumzo, kati ya viongozi wa Dortmund na United bado yanaendelea ili kufikia muafaka wa ada ya usajili ya fundi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka hivi punde ni kuwa United imekubali kumlipa Jadon Sancho mshahara wa Pauni 340,000 kwa wiki na kumfanya kuwa mchezaji namba tatu anayelipwa mpunga mrefu ndani ya EPL nyuma ya David de Gea anayeongoza na Mesut Ozil anayeshika nafasi ya pili.
Mkataba wa Sancho unatarajiwa kuwa ni wa miaka mitano huku bei yake ikiwa ni Pauni 108 milioni ambayo, United inatarajia kuitoa kwa awamu, ikiwa mara ya kwanza itaitoa Pauni 63 milioni, kisha itatoa Pauni 27 milioni, na awamu ya mwisho itatoa Pauni 18 milioni.
Ikiwa United itafanikiwa kumsajili mchezaji huyo kwa dau tajwa hapo juu, Sancho ndio atakuwa mchezaji ghali zaidi ndani ya kikosi hicho, kwa kuwa atakuwa amevunja rekodi ya Paul Pogba ambaye alisajiliwa kwa Pauni 89 milioni, akitokea Juventus.
 
MAMBO ni moto, Manchester United imefikia muafaka wa makubaliano binafsi na wawakilishi wa winga wa kimataifa wa England anayecheza Borussia Dortmund, Jadon Sancho na imeelezwa kuwa mazungumzo, kati ya viongozi wa Dortmund na United bado yanaendelea ili kufikia muafaka wa ada ya usajili ya fundi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka hivi punde ni kuwa United imekubali kumlipa Jadon Sancho mshahara wa Pauni 340,000 kwa wiki na kumfanya kuwa mchezaji namba tatu anayelipwa mpunga mrefu ndani ya EPL nyuma ya David de Gea anayeongoza na Mesut Ozil anayeshika nafasi ya pili.
Mkataba wa Sancho unatarajiwa kuwa ni wa miaka mitano huku bei yake ikiwa ni Pauni 108 milioni ambayo, United inatarajia kuitoa kwa awamu, ikiwa mara ya kwanza itaitoa Pauni 63 milioni, kisha itatoa Pauni 27 milioni, na awamu ya mwisho itatoa Pauni 18 milioni.
Ikiwa United itafanikiwa kumsajili mchezaji huyo kwa dau tajwa hapo juu, Sancho ndio atakuwa mchezaji ghali zaidi ndani ya kikosi hicho, kwa kuwa atakuwa amevunja rekodi ya Paul Pogba ambaye alisajiliwa kwa Pauni 89 milioni, akitokea Juventus.
Weka source otherwise ni uzushi bado
 
Wakuu..sancho huko tayarii
Tusubiri official statement

Ila jamaa atakuwa anakula more than £300,000 kwa wiki..thats alot!! Itabidi ajitume sana otherwise atajikuta anakuwa spotlight ya critics kama enzi za pogba.
Source nini usiweke tangazo bila source
 
MAMBO ni moto, Manchester United imefikia muafaka wa makubaliano binafsi na wawakilishi wa winga wa kimataifa wa England anayecheza Borussia Dortmund, Jadon Sancho na imeelezwa kuwa mazungumzo, kati ya viongozi wa Dortmund na United bado yanaendelea ili kufikia muafaka wa ada ya usajili ya fundi huyo.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka hivi punde ni kuwa United imekubali kumlipa Jadon Sancho mshahara wa Pauni 340,000 kwa wiki na kumfanya kuwa mchezaji namba tatu anayelipwa mpunga mrefu ndani ya EPL nyuma ya David de Gea anayeongoza na Mesut Ozil anayeshika nafasi ya pili.
Mkataba wa Sancho unatarajiwa kuwa ni wa miaka mitano huku bei yake ikiwa ni Pauni 108 milioni ambayo, United inatarajia kuitoa kwa awamu, ikiwa mara ya kwanza itaitoa Pauni 63 milioni, kisha itatoa Pauni 27 milioni, na awamu ya mwisho itatoa Pauni 18 milioni.
Ikiwa United itafanikiwa kumsajili mchezaji huyo kwa dau tajwa hapo juu, Sancho ndio atakuwa mchezaji ghali zaidi ndani ya kikosi hicho, kwa kuwa atakuwa amevunja rekodi ya Paul Pogba ambaye alisajiliwa kwa Pauni 89 milioni, akitokea Juventus.
Pogba nae atataka aongezewe mpaka £350,000.

Wage structure lazima iyumbe tena.
 
Back
Top Bottom