Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Jezi za Madrid ni nzuri hatari.nilichojifunza:
man utd tumekuwa na desturi ya kujitofautisha na team nyenginezo kwenye ishu ya designing ya jersey.....
angalia jersey za real madrid na AC milan (miaka yote zinakuwa na mfanano fulani) na wote wapo chini ya adidas kama sisi.
lakini ukija kwetu ni uhuni mtupu, material yanayotumika yanaweza kuwa ni ya kisasa lakini muonekano wa jezi mbele ya hadhira ukawa unatia shaka.
designer wa jezi ni kampuni au timu husika?




