D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Ally?Hata Ally
bado sijakuelewa
Ally?Hata Ally
Kwani akifanya ubunifu km huu tutamgomeaNinachoona jezi ya Arsenal ni kali kutokana na rangi zake, nyekundu na nyeupe ni combo moja ya hatari sana. Hii jezi yetu full red na vi-stripe vyeupe vya adidas havina mvuto.
Hiyo jezi hapo chini ni kali kutokana na mchanganyo wake wa rangi. Designer wa adidas anapofeli ni kukosea hadi away na 3rd kits.View attachment 1526144
August 7, watamtangaza then the rest is history.
Hawa TULITAPELIANA mkuukwenye dili la sanchez na mkhitaryan hakuna mwenye uthubutu wa kumcheka mwenzake, tofauti kubwa ilikuwepo kwenye maslahi ya wachezaji binafsi


Kwa huyu chalii United wanaenda kutupa hela tena
Arsenal walishazoea Mateso na kusajili flops halafu Arsenal imeshaondoka tena kwenye hadhi ya team kubwa hivyo hasara mapungufu yoyote ya kiuongozi hayapewi uzito kama yanavyopewa kwa united.


PovuHajielewi huyo, huyo ndio miongoni mwa wale Luc Eimer aliwaita........matusi makubwa sana haya.....wenyewe bado wapo hai



Uneducated n.kKwahiyo United hii ipo katika level ile ya mwanzo?wewe unaijua United kweli?Hawako tena kwenye level ile ya mwanzo hivyo makosa madogo madogo hayapewi sana nafasi ya mijadala na yanaonekana ya kawaida sana.
Hebu jaribu kutafakari sasa hivi Arsenal kuzishinda zile timu za juu nne na Tottenham limekuwa jambo la kushangaza kwamba Arsenal kawezaje kushinda mechi kubwa wakati huo huo Arsenal kufungwa na timu ndogo kama Aston Villa siyo habari tena ni jambo la kawaida tu.
Unaweza kuona namna gani Arsenal ilivyoporomoka mkuu







Jipeni moyokwa mtiririko wa uandishi wako ni dhahiri ya kwamba arsenal hawafanani na sisi, kwa sababu united bado tuna uwezo wa kujificha kwenye hoja ya kipindi cha mpito ila udhaifu wa arsenal umedumu kwa takribani miaka 16 (si mpito tena bali ni kuporomoka)
hahahaaaaaa




Huna jipya, unataka kupata releaf kupitia ArsenalHakika Arsenal hawako kwenye mpito tena wako kwenye mporomoko tayari.




KabisaKutuvalisha haya matambala Adidas wanatukosea sana mashabiki