Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,005
- 7,383
Ni mzuri anapace, ni tall, left footed, pia anacheza mipira ya juu bila shida na mwili wake umejengeza meams anaweza kucheza EPL akapambana bila shida,Kwa huyu chalii United wanaenda kutupa hela tena
udhaifu wake ni katika passing sioni kama ni mzuri sana kama yule pau torres pia tackling zake ni kama bissaka hivi sasa ile kwa mtu anaecheza centre anaweza kusababisha penalty kadhaa.....

