Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Nafikiri kwenye hii biashara ilikuwa ni biashara kichaa kwa pande zotekwenye dili la sanchez na mkhitaryan hakuna mwenye uthubutu wa kumcheka mwenzake, tofauti kubwa ilikuwepo kwenye maslahi ya wachezaji binafsi