ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Baada ya kubebwa chacha kuja kono mbele khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
heeee kumbe lakubebwa hatari...
Baada ya kubebwa chacha kuja kono mbele khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Manure wanabebwa hapa ... ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Fungie time .... .... ..... ... .
SAF kauza mechi tena leo,sijui GIGGS anampa nini huyu mzee
pole mkuu ila mshukuru kutangulia point nyingi mngekufa kwa presha..
Football ni mchezo wa presha,tatizo siku hivi Ferguson hana tofauti na Mancinipole mkuu ila mshukuru kutangulia point nyingi mngekufa kwa presha..
Tungeshinda hii mechi halafu city akafungwa na spurs, then tungehitaji kushinda game na villa OT, but kwa matokeo haya kombe tunaenda kulichukulia emirates 28th aprilSAF kauza mechi tena leo,sijui GIGGS anampa nini huyu mzee
Tunatakiwa kushinda game zetu na sio kutegemea City afungwe,tulianza msimu vizuri sana ila tunamaliza vibaya kwa kiwango hiki hakuna hata uhakika wa kushinda mechi ijayo.Tom Cleverly alisaidiana vizuri sana na Carick mwanzoni mwa msimu sioni umuhimu wa kuendelea kumchezesha Giggs ambae anakaribia miaka 40 na kuwaweka benchi vijana kama Anderson na Cleverley.Tungeshinda hii mechi halafu city akafungwa na spurs, then tungehitaji kushinda game na villa OT, but kwa matokeo haya kombe tunaenda kulichukulia emirates 28th april
Tunatakiwa kushinda game zetu na sio kutegemea City afungwe,tulianza msimu vizuri sana ila tunamaliza vibaya kwa kiwango hiki hakuna hata uhakika wa kushinda mechi ijayo.Tom Cleverly alisaidiana vizuri sana na Carick mwanzoni mwa msimu sioni umuhimu wa kuendelea kumchezesha Giggs ambae anakaribia miaka 40 na kuwaweka benchi vijana kama Anderson na Cleverley.
Paul Pogba aliondoka kwa mambo kama haya na kaenda Juve msimu wa kwanza tu lakini ameonyesha kiwango kikubwa