The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ighalo hawezi mkuuHapo Dembele tu au Ighalo
Ighalo hawezi mkuuHapo Dembele tu au Ighalo
Basi arudishwe China akacheze Kung Fu.Ighalo hawezi mkuu
Europa cost €8M for WinnersLkn utd inanivusha msimu vema, tena ikiwa inapigania Europa.....hivi niulize wajuzi huwa siachi kuuliza
...je utd unasababu ya kupigania ueropa league wkt imeshavuka kwenda elite league?
Au kwa ajiliyakuliweka kwenye museum?
Lile ni kombe, timu huwa zinasifika kwa kubeba makombe. Sio kuingia top4.Lkn utd inanivusha msimu vema, tena ikiwa inapigania Europa.....hivi niulize wajuzi huwa siachi kuuliza
...je utd unasababu ya kupigania ueropa league wkt imeshavuka kwenda elite league?
Au kwa ajiliyakuliweka kwenye museum?
pogba nae lingard c wamechkua ueropa kipnd cha mournhoLile ni kombe, timu huwa zinasifika kwa kubeba makombe. Sio kuingia top4.
United kubeba Europa, kunaijengea timu mentality ya ushindi.
Kwenye timu yetu ni wachezaji wachache sana wamewahi, kupambana hadi kubeba makombe, Matic na De gea(ngazi ya club).
Niliwasahau, ongeza na Rashford, Romero...... Baily.....pogba nae lingard c wamechkua ueropa kipnd cha mournho
★