Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijawahi kumuelewa mtu anaemuweka Grealish kwenye list ya wachezaji wa kununuliwa na United.

Huyu mchezaji yupo average sana. Na anacheza Aston Villa kwa sababu ana kiwango kidogo.
Co kweli eti anacheza Aston Villa kisa ana kiwango kdg, cr7 alitokea sporting lisbon je alikuwa na kiwango kdg? Bruno katokea huko huko sporting unasemaje? Vp Rooney alitokea tm kubwa? Mchezaji kutokea tm ndogo co kwamba ana kiwango kdg hapana bali inategemea na mazingira, ww km humuelewi sema simuelewi, af FYI ni kwamba Aston Villa ndo tm iliyomlea Grealish.
 
Co kweli eti anacheza Aston Villa kisa ana kiwango kdg, cr7 alitokea sporting lisbon je alikuwa na kiwango kdg? Bruno katokea huko huko sporting unasemaje? Vp Rooney alitokea tm kubwa? Mchezaji kutokea tm ndogo co kwamba ana kiwango kdg hapana bali inategemea na mazingira, ww km humuelewi sema simuelewi, af FYI ni kwamba Aston Villa ndo tm iliyomlea Grealish.
Bruno na CR7 tumewapata kwa right price na Sporting Lisbon ni timu kubwa Ureno. Aston Villa inapambana kushuka daraja EPL.

Grealish ana nini cha zaida cha kununuliwa kwa £80M? Au uuziwe Sancho kwa £130M kwa lipi??
 
Bruno na CR7 tumewapata kwa right price na Sporting Lisbon ni timu kubwa Ureno. Aston Villa inapambana kushuka daraja EPL.

Grealish ana nini cha zaida cha kununuliwa kwa £80M? Au uuziwe Sancho kwa £130M kwa lipi??
Hahaha mkuu Grealish kakufanya nini,Ni kama ARV na Martial hahaha.
 
Tukimchukua Grealish tunapigwa tena, Aston Villa wata-take advantage ya kubaki Premier League kupiga pesa. Kuliko kumchukua Grealish kwa £80 ni bora tufufue dili la Brooks (Bournemouth) Umri mdogo (23) na pesa ndogo, hazidi £25 ukizingatia wameshuka daraja, ni bora kubet hapo kuliko kwa Grealish. Msimu wake wa kwanza akitokea Sheffield United ali-perform vizuri. Msimu huu majeruhi yaliathiri kiwango chake na hakucheza karibia msimu mzima ila bado aliporudi baada ya break ya Covid-19 ali-manage kupata goli moja. Ni Premier League proven. Kumpata huyu bado dili la Sancho linapaswa kushughulikiwa, tupate na CB na Striker, msimu tutauanza vizuri sana.
 
Tukimchukua Grealish tunapigwa tena, Aston Villa wata-take advantage ya kubaki Premier League kupiga pesa. Kuliko kumchukua Grealish kwa £80 ni bora tufufue dili la Brooks (Bournemouth) Umri mdogo (23) na pesa ndogo, hazidi £25 ukizingatia wameshuka daraja, ni bora kubet hapo kuliko kwa Grealish. Msimu wake wa kwanza akitokea Sheffield United ali-perform vizuri. Msimu huu majeruhi yaliathiri kiwango chake na hakucheza karibia msimu mzima ila bado aliporudi baada ya break ya Covid-19 ali-manage kupata goli moja. Ni Premier League proven. Kumpata huyu bado dili la Sancho linapaswa kushughulikiwa, tupate na CB na Striker, msimu tutauanza vizuri sana.
Donny Von De Beek ni cheap options na ya uhakika zaidi.
 
Bruno na CR7 tumewapata kwa right price na Sporting Lisbon ni timu kubwa Ureno. Aston Villa inapambana kushuka daraja EPL.

Grealish ana nini cha zaida cha kununuliwa kwa £80M? Au uuziwe Sancho kwa £130M kwa lipi??
Kwahiyo Maguire katoka timu kubwa England na kwa right price?
 
Huyu dogo alitakiwa na united 2014 akagoma kuja why now?
Man utd ilikuwa hovyo sana kipindi kile..hakuna top talent player angeweza kuja..

Hata Toni kroos tulimtaka ila madrid walipojitokeza akatupotezea..
 
Na James Rodriguez kwa sasa bora ubaki na Pereira kashindwa kufanya vizuri ligi laini laini huku premier league hawezi.
unakosea Kumlinganisha james Rodriguez na perreira..hawalingani.
 
Man utd ilikuwa hovyo sana kipindi kile..hakuna top talent player angeweza kuja..

Hata Toni kroos tulimtaka ila madrid walipojitokeza akatupotezea..
Sidhani kama alikuwa top talent ya kufikia kugoma kuja united.
 
It is getting serious
skysports___CDOGJAsgfAe___.jpeg
 
Hahaha mkuu Grealish kakufanya nini,Ni kama ARV na Martial hahaha.
Hajanifanya chochote mkuu.

Ila sioni mantiki ya kutoa hela nyingi kwa mchezaji below average kama hela tuliotoa kwa kumnunua Maguire.

Scouts wa Man Utd wanaweza kuleta mchezaji mzuri zaidi yake kwa gharama ndogo kabisa. Vilevile kwa Sancho, unatoa £100M kwa lipi la maana pale? Kisa tunashida ya winger?
 
Back
Top Bottom