Na mm niombee hivyo, umeelezea kitaalamu sana "Jamaa anabadilika kwenda juu" and this is awesoRashford LW, Sancho RW. Rashford hawezi kukosa namba kikosi cha Man. Utd ni msimu tu umemuishia vibaya ila he's one of my favorite ukiachana na hao wakina Greenwood sijui Fernandes. Jamaa anabadilika kwenda juu, natumaini msimu ujao atazidi kupanda zaidi.
Wewe ni kama mm yule jamaa analeta nn jipya pale, utd sio club ya kujaribu.....na nadhan tatizo kwetu linabaki Kwa edu tabia yake usajili huwa ya hovyoI'm a Man Utd fan and completely against the idea to buy Grealish.
We need world class players kama kweli tunataka ubingwa.
Huyo wa Chelsea ni nani? Usiniambie hawana icon
Hapo kwenye kugombea kombe itoe Arsenal, huwa hawagombanii kombe wale.1. Msimu 2019 Man U ilikuwa top 6
2. Msimu huu ilikuwa top 3
3. Msimu wa 2020/2021 Man U itakuwa top 2 (Nafikiri itakuwa ikipambana na Mancity huku ikifuatia Chelsea,Liverpool, Arsenal na Tottenham)
4. Msimu wa 2021/2022 Ma U itafuta Ukame wa miaka 8 bila ubigwa hivyo kutwaa taji laEPL.
5.Kuanzia msimu wa 2022 hadi 2042,,,,,,, (Utawala wa King Man U of Epl utarudi yaani Ferguson alivyoiacha Man u 2013 , basi Ile Domination Legacy itaendelezwa na hali itarudi kama zamani. Yaani from 1992 to 2013 Man u ilbeba 13 EPL for 20 years.
6. Hivyo Man u itaendeleza utawala kuanzia 2022 hadi 2043 with 13 titles for 20 years kama Ferguson alivyofanya.
Sasa ukitoa hiyo 13 titles atakayobeba Man U kwenye miaka 20,,, Hiyo miaka 7 ya ndani kwa ndani ambapo Man U akiwa habebi ,, Timu za Chelsea, Mancity , Liverpool na Arsenal mtatakiwa kukaa na Safu zenu za bodi pamoja na benchi la ufundi mkijadili mtakavyogawana kila mmoja taji kwenye hiyo miaka 7 tuliyowaachia, Yaani kama mlivyojadili from 1992 to 2013 huku maisha yakiendelea na babu Ferguson akifanya yake.
Sasa kama kuna mpinzani anayebishi wewe Screenshot hii message na tutakuwa tukikumbushana kila mwisho wa msimu kila lengo likiwa linatimia.
Alafu mkuu pogba anatakiwa awe anacheza no.10 zen Bruno acheze no. 8 lkn awe huru kwenda popote, wakati huo huo tuwe na no.9 dizain ya Kane au Aguero apo ndo mtajua pogba ni mchawi wa penetration kwa kiasi gani, co unaweka pogba no.10 af no. 9 Martial yn apo utakuwa unajaza pipa kwa kisoda.Yap,, kwa mchezo wa Jana Pogba alikuwa vizuri na naona anaanza kurudisha imani yake kwa mashabiki! Nilimuangalia sana alijitahidi kutulia na kufikiri! Nilimshuhudia Mara kadhaa akigeuza uelekeo wa mpira kwa maslahi ya united na kutengeneza nafasi pamoja na kutoa pasi za maana japo kuna wakati alionekana kuwa mzito kidogo!
.
Tatizo washambuliaji wetu ni butu sana
Yah Rashford ni mchezaji mzr pia ana talent kubwa icpokuwa ana makosa makosa ya hapa na pale ambayo wkt mwngne yanai cost tm, mfano atapewa pasi fulani hv zen anavyoipokea tu utagundua kwamba jamaa ni first class player na hata anavyo drible mpira he's so good at dribbling but interms of passing hayuko vzr sn pasi zake nyingi huwa zinapotea, ofcz ni mchezaji mzr ila anahitaji angepata kocha dizain ya Pep au Fergie angekuwa mtamu sanaRashford LW, Sancho RW. Rashford hawezi kukosa namba kikosi cha Man. Utd ni msimu tu umemuishia vibaya ila he's one of my favorite ukiachana na hao wakina Greenwood sijui Fernandes. Jamaa anabadilika kwenda juu, natumaini msimu ujao atazidi kupanda zaidi.
Yah amekosea sana.Dah... Mkuu hujamtendea haki BF
Eti, sijui hao akina Fernandez
Mkuu mm mwenyewe nilikuwa mnazi wa Martial lkn ukweli ni kwamba tusitarajie kikubwa kutoka kwake japo amepandisha kiwango but utd ni kubwa sana kwake ictoshe ni mvivu sana.Ila Martial kabadilika sana sasa hivi nadhani msimu ujao atakua vizuri akiendelea kuongeza juhudi kama anavyofanya sasa.
Ishu ya penati sijui kwanini watu wanaongea sana lakini ukiwa na watu wenye pace kama kina Martial na Rash halafu una mtu mwenye pasi za uchokozi kama Bruno lazima mabeki wafanye rafu tu hamna namna.
Kupata penati nyingi maana yake strikers wetu wanapenya sana kwenye box la wapinzani so tuko vizuri.
Rudi nyumbani kumenogaTutahitaji 3 big players kwaajili ya msimu ujao.
Center Back
Right Winger
Goalkeeper
Ondoa wachezaji wafuatao
Matta
Jones
Perreira
Rojo
Lingard
Sanchez
Smalling
Pandisha daraja wachezaji 3 kutoka kikosi cha pili tutawakimbiza Liverpool na Man City msimu ujao.
Mjumbe kazini.
Europa inasaidia usipangwe na Vigogo Uefa, sijajua msimu ujao itakuwaje ila wababe wa makundi ni bingwa mtetezi Uefa, Bingwa wa EUropa, na mabingwa wa ligi sita kubwa, hivyo kama tunachukua Europa inamaana Psg, Bayern, Madrid, Juve na bingwa wa Uefa msimu huu hawawezi pangwa kundi moja na sisi.Lkn utd inanivusha msimu vema, tena ikiwa inapigania Europa.....hivi niulize wajuzi huwa siachi kuuliza
...je utd unasababu ya kupigania ueropa league wkt imeshavuka kwenda elite league?
Au kwa ajiliyakuliweka kwenye museum?
Sababu ipo..na ni simple tu..TEAM km UTD inatakiwa kumaliza msimu na atleast 1 or 2 silverwares..kumaliza msimu bila kombe ni disappointment kwa timu kubwa km UTD so kila kilchopo mbele kitapiganiwa mpk dkk ya mwisho..haijalishi km ni carabao au FA..Lkn utd inanivusha msimu vema, tena ikiwa inapigania Europa.....hivi niulize wajuzi huwa siachi kuuliza
...je utd unasababu ya kupigania ueropa league wkt imeshavuka kwenda elite league?
Au kwa ajiliyakuliweka kwenye museum?
Huyo wa Chelsea ni nani? Usiniambie hawana icon
Huyu dogo anakaa kwa wazazi wake au kapanga mtaani?Another left footer but comfort in both feet!View attachment 1519111
Hapo Dembele tu au IghaloAlafu mkuu pogba anatakiwa awe anacheza no.10 zen Bruno acheze no. 8 lkn awe huru kwenda popote, wakati huo huo tuwe na no.9 dizain ya Kane au Aguero apo ndo mtajua pogba ni mchawi wa penetration kwa kiasi gani, co unaweka pogba no.10 af no. 9 Martial yn apo utakuwa unajaza pipa kwa kisoda.