Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Wewe si umemdiss OGS umesema anavuta cha Oslo★Mkuu shida nini???★
Wewe si umemdiss OGS umesema anavuta cha Oslo★Mkuu shida nini???★
Tumeuna, mkono wako BwanaMan U hajamaliza Top 4 mkuu, ni top 3.
Vipi bado tunarukaruka ?Chelsea 2 sisi tunaruka ruka tu dah aibu sana ole hana mbinu ya kubadili mchezo asee ni mpuuzi mmoja tu.
★
Wewe si umemdiss OGS umesema anavuta cha Oslo
And that's a truth..defence yetu inahitaji overhaul.
Mpuuze mzee!★Mkuu shida nini???★

Lampard kafundisha derby wewe zuzuLampard ndo msimu wake wa kwanza kufundisha timu kubwa. Wakati Ole keshashusha adi timu daraja uko...
Lampard kajitahidi sana alafu kumbuka Chelsea haikufanya usajili wowote mwanzoni mwa msimu


Kabisa, hakuna beki. Maguire nafuu hata VictorAnd that's a truth..
Kushinda haimaanishi tulikua haturuki ruki mkuu.Vipi bado tunarukaruka ?
Ongrra kwa kuchuua trophy ya nafasi ya 3.Maisha yanabadilika sana, leo watu wameamini United ameingia top 4
Kila siku nilikuwa nasikia hata ashinde namba yake ni 5
![]()
Acha kuangalia porn zitakuzalishia upweke utakaopelekea stress Sugu.Hata kama sio vilema,tuko lege lege kinyama,sijui huwa wanafanya nini wachezaji wenu aseee
Kipindi cha pili sichomi MB zangu kizembe...heri nizitumie kuangalia hata porn,nitaangalia matokeo tu
Acha kuangalia porn zitakuzalishia upweke utakaopelekea stress Sugu.
Mkuu unaweza kunisogezea link nishuhudie huu mtanange?
Kwahio pono ndo kimbilio lako kuu? Asee![]()
Sawa, usiangalieSijasema naangalia lakini