Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tujipongeze wajomoni
IMG_20200726_202019_969.jpg
 
Niliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu

Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL
 
Niliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu

Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL
League table
Screenshot_20200726_202124_com.livescore.jpeg
 
Niliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu

Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL
Leicester City amekaa top 4 almost 95% ya msimu wote.
 
Niliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu

Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL
sikuiz playoffs hkun mzee kwa league za izi tano tngu mwaka jana hkuna play off
 
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Mnafiki sana wewe
umemchonga Lingard saiv unajiimbisha mapambio
 
Back
Top Bottom