Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Hongera kwa kuchukua kombe kwenye Uwanja mtupu, yaani kama disco la nyumbani vile
Ongrra kwa kuchuua trophy ya nafasi ya 3.
Ongrra kwa kuchuua trophy ya nafasi ya 3.
Sawa, usiangalie
★Amenikera japo Jesse Ling's katupia kamba★



bila unafiki màisha hayaendi
Hongera kwa kuchukua kombe kwenye Uwanja mtupu, yaani kama disco la nyumbani vile








League tableNiliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu
Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL![]()
Leicester City amekaa top 4 almost 95% ya msimu wote.Niliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu
Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL![]()
Kwa hiyo Derby ilikuwa EPL?Lampard kafundisha derby wewe zuzu
sikuiz playoffs hkun mzee kwa league za izi tano tngu mwaka jana hkuna play offNiliwahi kuwaambia mashabiki wa timu flani wapige screenshot kabisa maana hizo namba za juu kwenye ligi ni za wakubwa, kama walishupaza shingo basi ndio hawana tena kumbukumbu
Kuna vitimu vimekaa top 4 karibu msimu mzima, halafu leo vimeangua namba 4,yaani vitaenda kucheza play off na timu za Uzbekistan ili waje wacheze UCL![]()
Mnafiki sana weweTumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Tumeuna, mkono wako Bwana
Matendo yako Bwana ni makuu mno
Umetutoa mbali, ukatushika mkono
Mahali uliona pekee hatuwezi
Chini hata juu, watu unawainua
Sifa na utukufu ni zako milele
Twasifu jina lako, milele tutakusifu
Daima we umwema tutaishi kwako
Goli moja la penalti na lingine la Lingard!!!!Kushinda haimaanishi tulikua haturuki ruki mkuu.
Hiyo haiwezekan mkuu.Mkuu nilikuwa natumia DStv now APP,inaweza kushare link?
Kwani siyo magoli ?Goli moja la penalti na lingine la Lingard!!!!
Goli moja la penalti na lingine la Lingard!!!!
★Ole nazani anamatatizo ya Akili si bure Sub hata mtoto wa shule ya Msingi Hawezi kuifanya Yeye kaifanyaso sad (Tʖ̯T) kwakweli★
Vipi hukumuona sioAliyemuona Lingard tangu aingie aniambie Ole anazingua sana