Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Logic itakuwa ni hivi, kama Moyes aliweza kupata draw na Man Utd kwa kikosi alichonacho na ukizangatia ukubwa wa kikosi cha Man Utd kwa sasa, basi pound to pound, Moyes ni bora zaidi ya Ole.
Logic itakuwa hivi,
Kama Moyes alishindwa kupata matokeo na kikosi cha man united kilichokuwa bora kuliko hiki cha sasa basi Moyes ni Famba kwa Ole.
 
Logic itakuwa ni hivi, kama Moyes aliweza kupata draw na Man Utd kwa kikosi alichonacho na ukizangatia ukubwa wa kikosi cha Man Utd kwa sasa, basi pound to pound, Moyes ni bora zaidi ya Ole.
..Comment ya hovyo tokea nianze kuujua mpira..

Samahani mkuu..
 
Kufungwa mechi moja katika mechi 20 huku ni kubahatisha mkuu ?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Ole anauwezo kuliko Lampard.
Lampard ndo msimu wake wa kwanza kufundisha timu kubwa. Wakati Ole keshashusha adi timu daraja uko...

Lampard kajitahidi sana alafu kumbuka Chelsea haikufanya usajili wowote mwanzoni mwa msimu
 
Leo tuko pamoja na Leicester City

Kila la kheri Leicester..

King Power leo ni shangwe

#LFC #CFC
 
Hatimaye jina la CHELTAKO limepitishwa rasmi na wenyewe
Screenshot_20200726-161524.jpg
 
Kwani yeye kwa mpira wake huo anaocheza unafikiri atachomoka na ushindi? Alikuwa mbele pointi 13 , sasa hivi anazidiwa moja . Yeye ndiye anayewaza kama ataweza kuchomoka na ushindi
Pima akili yako mkuu kwahiyo wewe leo hii ni wakujilinganisha na leicester???
Kwa mnavyospend pesa kweli ujilinganishe na Leicester au ndo bora lawama kuliko fedheha
 
Pima akili yako mkuu kwahiyo wewe leo hii ni wakujilinganisha na leicester???
Kwa mnavyospend pesa kweli ujilinganishe na Leicester au ndo bora lawama kuliko fedheha
Sasa kwahyo umekubali kuwa Man u imetumia pesa ndio maana imeimprove kuziba pengo la pointi 13.

Alafu ,Kazi ya pesa iliwekwa kwa ajili ya nini?? Si kutumika. Na kwanini timu isipoleta matokeo mazuri inaingia sokoni? Unafikiri Chelsea wenyewe walivyoingia sokoni si kwasababu ni wabovu uwanjani na hawajakamilika kiakili, ndio maana Lampard ametumia pesa kuleta wachezaji ili kusaidia VILAZA walioshindwa kuleta matokeo mazuri. Hiyo ndiyo kazi ya pesa .

Kwa
hyo Man u Ametumia pesa ndiyo maana kapunguza gap la point 13 kwa mechi 13.
 
Back
Top Bottom