Yani Ed atoe tena hela kwenye hiyo nafasi

, hawezi. Mwaka juzi katoa hela kumnunua Dalot, mwaka jana Bissaka, mwaka huu ataangalia nafasi nyingine
Mwaka jana, wakati wanamchukua walijua AWB ni right back wa aina gani, old school
Kwa msimu huu wa usajili kwa mtazamo wangu, United watafute Striker, Kiungo mshambuliaji, na winger. Ingekuwa timu hazilii njaa na hii Corona tungesema tutafute beki wa kati mwenye pace ili am compliment Maguire. Anyway tunaweza kuendelea kumtazama Tuanzebe
Nafasi nyingine tunayohitaji kusajili ni kipa, au tumrudishe Henderson. De gea amefanya makosa mengi sana, unahitaji kipa asiyefanya makosa au anayefanya makosa machache sana kama unataka ubingwa
Kuna uwezekano Romero akaondoka, ali mind sana juzi kuwekwa benchi, na ana haki zote za ku mind... Inaonesha kocha hamuamini maana mechi za cup competition zote zilikuwa zake
Matokeo ya mbio za top 4 pia yatatoa dira ya wachezaji gani tutakaowasajili. Kesho ni kesho aisee.