Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa kwahyo umekubali kuwa Man u imetumia pesa ndio maana imeimprove kuziba pengo la pointi 13.

Alafu ,Kazi ya pesa iliwekwa kwa ajili ya nini?? Si kutumika. Na kwanini timu isipoleta matokeo mazuri inaingia sokoni? Unafikiri Chelsea wenyewe walivyoingia sokoni si kwasababu ni wabovu uwanjani na hawajakamilika kiakili, ndio maana Lampard ametumia pesa kuleta wachezaji ili kusaidia VILAZA walioshindwa kuleta matokeo mazuri. Hiyo ndiyo kazi ya pesa .

Kwa
hyo Man u Ametumia pesa ndiyo maana kapunguza gap la point 13 kwa mechi 13.
Umetumia pesa kugombania top4
Mbaya zaid top 4 mpk sasa kwako haieleweki mkuu
 
Leo nyumbu out top four , na sidhani kama mtatia pua yenu kwenye huu uzi baada ya game leo
 
Mafanikio pekee ya Ole kwenye soka mpaka sasa ni kushusha timu daraja.
Lampard ndo msimu wake wa kwanza kufundisha timu kubwa. Wakati Ole keshashusha adi timu daraja uko...

Lampard kajitahidi sana alafu kumbuka Chelsea haikufanya usajili wowote mwanzoni mwa msimu
 
Hawa leo ndio wataibeba au kuibwaga United yetu, the hit is on
manchesterunited___CDG5zvZA4l9___.jpeg
 
Sheria ya UEFA bingwa wa Europa na UEFA wanaingia kwenye UEFA hata kama hawajakolifai kwenye ligi zao
EPL inaruhusiwa at maximum kupeleka timu tano kama mojawapo wa timu ni mshindi wa Europa au UEFA ambayo haukkolai kwenye ligi. Kwa maana io i ya top 4 na ikabeba UEFA (ndoto za alinacha) na Wolves akabeba Europa basi ni timu tatu tu zitaungana nao kwenye UEFA mwakani ambazo ni mshindi wa kwanza hadi wa tatu na mshindi wa nne anaenda Europa akiungana na mshindi wa tano, kama Arsenal akishinda FA anaenda Europa na hivyo mshindi wa sita hatashiriki Europa kwa sababu Europa ni timu tatu tu zinatakiwa.
Ila uwe na amani,helsea kushinda UEFA itakuwa ni Comeback yake kwa Bayern itakuwa maajabu ya milenia ya tatu na ubingwa wa UEFA kwa timu tuliyonayo itakuwa maajabu ya Karne ya 21
Mkuu hujawahi ona mende akiangusha kabati? Wait uone
 
Mkuu hujawahi ona mende akiangusha kabati? Wait uone
Correction "...... Kwa maana Chelsea ikiwa nje ya top 4 na ikabeba UEFA (ndoto za alinacha) na Wolves akabeba Europa basi ni timu tatu tu zitaungana nao kwenye UEFA mwakani ....."
 
Back
Top Bottom