Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Tumefungwa goli chache sana msimu huu kulinganisha na misimu miwili iliyopita halafu tunasema defence yetu mbovu ?Haujatick..tunahitaji RB wa kueleweka
Tumefungwa goli chache sana msimu huu kulinganisha na misimu miwili iliyopita halafu tunasema defence yetu mbovu ?Haujatick..tunahitaji RB wa kueleweka
Mkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya Chelsea
Chelsea tumemkojoza three times msimu huu..hakuna kubahatisha kwa namna hiyo..Nimetoa mfano wa game ya Chelsea.. fa last weekend
Mkuu we kweli nyoka mwenye makengezaaivi wakuu hatuwezi kumrudisha tom cleverly? mimi pogba simkubali
Mimi naona asajiliwe RB awe ana pambana na Bissaka na kuna mechi watakuwa wanapokezana kutegemeana na mpinzani..Kazi ya AWB defensively kabla ya corona break ilikuwa safi..shida moja ni yeye kupanda juu..Na RB huyu atakayesajiliwa awe ana uwezo wa kushambulia..Tungemtumia Dalot ila kuna kila dalili hii ni failed projectTumefungwa goli chache sana msimu huu kulinganisha na misimu miwili iliyopita halafu tunasema defence yetu mbovu ?
Moyes alitaka apewe muda zaidi aishushe timu daraja ?Moyes alisema wazi tofauti yake na Ole ni Ole kupewa muda, kimbinu bado ni amateur sana.
Mkuu huwezi kupata fullback ambaye ni complete kwa defending and attacking.Mimi naona asajiliwe RB awe ana pambana na Bissaka na kuna mechi watakuwa wanapokezana kutegemeana na mpinzani..Kazi ya AWB defensively kabla ya corona break ilikuwa safi..shida moja ni yeye kupanda juu..Na RB huyu atakayesajiliwa awe ana uwezo wa kushambulia..Tungemtumia Dalot ila kuna kila dalili hii ni failed project
Moyes alitaka apewe muda zaidi aishushe timu daraja ?
Alipewa timu imetoka kutwaa ubingwa halafu akashindwa hata kuingia top four unataka apewe muda afanye nini katika mazingira kama hayo ?
Moyes ni kiazi kwelikweli...Eti muda,,muda gani na team ilikuwa bingwa mtetezi??Moyes alisema wazi tofauti yake na Ole ni Ole kupewa muda, kimbinu bado ni amateur sana.
Ikumbukwe hakupewa fungu... sio kama oleMoyes ni kiazi kwelikweli...Eti muda,,muda gani na team ilikuwa bingwa mtetezi??
Hawawezi kuongeza zaidi ya wachezaji wawiliOle amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..RB,LB,RW,CB na striker.
★
Yani Ed atoe tena hela kwenye hiyo nafasi, hawezi. Mwaka juzi katoa hela kumnunua Dalot, mwaka jana Bissaka, mwaka huu ataangalia nafasi nyingine
Mwaka jana, wakati wanamchukua walijua AWB ni right back wa aina gani, old school
Kwa msimu huu wa usajili kwa mtazamo wangu, United watafute Striker, Kiungo mshambuliaji, na winger. Ingekuwa timu hazilii njaa na hii Corona tungesema tutafute beki wa kati mwenye pace ili am compliment Maguire. Anyway tunaweza kuendelea kumtazama Tuanzebe
Nafasi nyingine tunayohitaji kusajili ni kipa, au tumrudishe Henderson. De gea amefanya makosa mengi sana, unahitaji kipa asiyefanya makosa au anayefanya makosa machache sana kama unataka ubingwa
Kuna uwezekano Romero akaondoka, ali mind sana juzi kuwekwa benchi, na ana haki zote za ku mind... Inaonesha kocha hamuamini maana mechi za cup competition zote zilikuwa zake
Matokeo ya mbio za top 4 pia yatatoa dira ya wachezaji gani tutakaowasajili. Kesho ni kesho aisee.
Walau angeweza kuwatumia wale aliowakuta kumpa matokeo badala ya kulilia kina Ronaldo na Thiago Lacantara.Mngekuwa wavumilivu na kumletea wachezaji aliokuwa anawahitaji kama ilivyo kwa Ole ndio alaumiwe.
★
Mimi naona asajiliwe RB awe ana pambana na Bissaka na kuna mechi watakuwa wanapokezana kutegemeana na mpinzani..Kazi ya AWB defensively kabla ya corona break ilikuwa safi..shida moja ni yeye kupanda juu..Na RB huyu atakayesajiliwa awe ana uwezo wa kushambulia..Tungemtumia Dalot ila kuna kila dalili hii ni failed project
Alipewa fungu akasema anaamini kikosi maana kimetoka kuchukua ubingwa.Ikumbukwe hakupewa fungu... sio kama ole
Mkuu sio kweli..Mkuu huwezi kupata fullback ambaye ni complete kwa defending and attacking.
Hata Trent Anold defensively siyo mzuri kama Bissaka.
Kitu pekee cha kuboresha upande wa Bissaka ni kutafuta winger anayecheza deep mwenye kasi itaweza kumfanya acheze eneo dogo na akiwa relaxed defensively.
Kipindi Daniel James anacheza kulia Bissaka alifanya majukumu yake sawa sawa upande wa kulia kwa sababu Daniel James anaspeed na anaweza kucheza deep.
Haupo serious ww..!Mkuu hiv unajua ole huwa ana bahatisha... yaan hajui afanyalo.. example game ya Chelsea