Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Kwa akili za makocha, unaweza kushangaa National team wakiitwa wote, anaanza Bissaka na TAA anasubiri
Yaani nikiona TAA anavyocheza,then nikimcheki Bissaka wetu napata kichefu chefu kabisa..Labda abadilike aisee

Dalot huyo ni wakuuzwa tu,project imefeli hiyo..

Hii Ligi ishakuwa ngumu..inabidi uwe na kikosi chenye uwezo wa juu kila sehemu..
 


Kwa akili za makocha, unaweza kushangaa National team wakiitwa wote, anaanza Bissaka na TAA anasubiri
1 Trippier
2 TAA
3 Kyle Walker
4 Bissaka
5 Kyle Walker Peters
6 Max Aaron's

Southgate ana mtihani mzito hapa
 
#GGMU
Ars%E1%BA%ADl%20(%40Arsal_gfx)%20_%20Twitter.jpeg
 
★Nimecheka kifuara ety ingekuwa vizuri INTER MILAN wakimchukua kwanini asirudi OT★


Naona Alexis sanchez kaimprove , Magoli 4 na 9 assists, Nafikiri itakuwa vizuri Intermillan wakimchukua
 
Champions League ni hela, inapaswa kuwa mechi ya do or die

Ukiachana na sababu za kisoka Club, Wachezaji na makocha watapoteza fedha nyingi sana endapo United haita qualify Champions League

United isipo qualify Champions League itanyimwa £20 na mdhamini wake addidas

United isipo qualify Champions League itakosa £70M zinazotolewa UCL, itapata £20M zinazotolewa Europa League (Pungufu £50M)

Pia kuna uwezekano kwenye ku negotiate deals na TV ikadhulumika kutokana na Europa League status badala ya Champions League status.

Inakisiwa hata bidhaa zake kama mauzo ya jezi, vipindi vya TV n.k yatashuka

Wachezaji wataendelea kupata posho yao ikiwa pungufu 20% kutokana na kuto qualify Champions League (ipo kwenye mikataba yao)

United ikiingia Champions League, kesho Ole Gunnar atakuta £1M zaidi kwenye akaunti yake

Game ya leo ni ya kulinda heshima, game ya leo ni kulinda hela zisipeperuke

Tukumbushane

United anahitaji walau draw ili aingie top 4, Chelsea anahitaji walau draw ili aingie top 4. United akipigwa Chelsea akishinda ndio baba Jane Bye Bye. Chelsea akipigwa United anaingia ndani ya Champions League kwa matokeo yoyote. Wakati ni lazima Leicester ashinde ili aingie Champions League, pia ni lazima Wolves ashinde ili msimu ujao acheze Europa League maana Jose is sniffing behind their shoulder.

Leo itakuwa ni kati ya siku ambayo mashabiki wanatamani waangalie mechi zote, au walau mashabiki wataziweka bize sana app zao za matokeo kama Live Score

Hi ni game ambayo OGS anapaswa kuthibitisha kuwa ana uwezo wa kushinda when it matters

Msimu ujao siku kama ya leo hatupaswi kuwaza mechi ya mwisho kwetu kama Champions League decider, inabidi iwe mechi ya kuamua EPL winner, sababu hii ni Manchester United
 
★Nimecheka kifuara ety ingekuwa vizuri INTER MILAN wakimchukua kwanini asirudi OT★
Anaweza akarudi ila kiwango kikawa low, Alafu sasa mshahara huo duuu! Yaani si analipa kikosi cha kwanza chote cha Chelsea ukimuondoa Kante na goalkeeper Caballero . 😀 😀 😀 😀
 
Moyes alitaka apewe muda zaidi aishushe timu daraja ?

Alipewa timu imetoka kutwaa ubingwa halafu akashindwa hata kuingia top four unataka apewe muda afanye nini katika mazingira kama hayo ?
Logic itakuwa ni hivi, kama Moyes aliweza kupata draw na Man Utd kwa kikosi alichonacho na ukizangatia ukubwa wa kikosi cha Man Utd kwa sasa, basi pound to pound, Moyes ni bora zaidi ya Ole.
 
Champions League ni hela, inapaswa kuwa mechi ya do or die

Ukiachana na sababu za kisoka Club, Wachezaji na makocha watapoteza fedha nyingi sana endapo United haita qualify Champions League

United isipo qualify Champions League itanyimwa £20 na mdhamini wake addidas

United isipo qualify Champions League itakosa £70M zinazotolewa UCL, itapata £20M zinazotolewa Europa League (Pungufu £50M)

Pia kuna uwezekano kwenye ku negotiate deals na TV ikadhulumika kutokana na Europa League status badala ya Champions League status.

Inakisiwa hata bidhaa zake kama mauzo ya jezi, vipindi vya TV n.k yatashuka

Wachezaji wataendelea kupata posho yao ikiwa pungufu 20% kutokana na kuto qualify Champions League (ipo kwenye mikataba yao)

United ikiingia Champions League, kesho Ole Gunnar atakuta £1M zaidi kwenye akaunti yake

Game ya leo ni ya kulinda heshima, game ya leo ni kulinda hela zisipeperuke

Tukumbushane

United anahitaji walau draw ili aingie top 4, Chelsea anahitaji walau draw ili aingie top 4. United akipigwa Chelsea akishinda ndio baba Jane Bye Bye. Chelsea akipigwa United anaingia ndani ya Champions League kwa matokeo yoyote. Wakati ni lazima Leicester ashinde ili aingie Champions League, pia ni lazima Wolves ashinde ili msimu ujao acheze Europa League maana Jose is sniffing behind their shoulder.

Leo itakuwa ni kati ya siku ambayo mashabiki wanatamani waangalie mechi zote, au walau mashabiki wataziweka bize sana app zao za matokeo kama Live Score

Hi ni game ambayo OGS anapaswa kuthibitisha kuwa ana uwezo wa kushinda when it matters

Msimu ujao siku kama ya leo hatupaswi kuwaza mechi ya mwisho kwetu kama Champions League decider, inabidi iwe mechi ya kuamua EPL winner, sababu hii ni Manchester United
Ila pia kwa kuongezewa , hata kwenye mkataba wa Bruno Fernandes kuna ahadi ya 4M pound kama akiisadia Man u kuingia Uefa Champions League, ambayo fedha hiyo walikubaliana na Sporting Lisbon itakatwa kwenye deni la 21M Euro itakayolipwa na Man u kama wakiingia Uefa.

Kwahyo leo ni win or Die.
 
Upo sahihi, Sporting Lisbon leo ni mashabiki wetu
Ila pia kwa kuongezewa , hata kwenye mkataba wa Bruno Fernandes kuna ahadi ya 4M pound kama akiisadia Man u kuingia Uefa Champions League, ambayo fedha hiyo walikubaliana na Sporting Lisbon itakatwa kwenye deni la 21M Euro itakayolipwa na Man u kama wakiingia Uefa.

Kwahyo leo ni win or Die.
 
Nimesoma sehemu nimecheka

Kama Chelsea akichukua Champions League, na amalize nje ya top 4

Na Wolves akichukua Europa League, na tunajua kuwa atamaliza nje ya top 4

Man Utd hata akimaliza League nafasi ya 4 hata qualify Champions League

Hii ndio inaitwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
Nimesoma sehemu nimecheka

Kama Chelsea akichukua Champions League, na amalize nje ya top 4

Na Wolves akichukua Europa League, na tunajua kuwa atamaliza nje ya top 4

Man Utd hata akimaliza League nafasi ya 4 hata qualify Champions League

Hii ndio inaitwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Wolver anachukuaje Europa?
 
Nimesoma sehemu nimecheka

Kama Chelsea akichukua Champions League, na amalize nje ya top 4

Na Wolves akichukua Europa League, na tunajua kuwa atamaliza nje ya top 4

Man Utd hata akimaliza League nafasi ya 4 hata qualify Champions League

Hii ndio inaitwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
Sheria ya UEFA bingwa wa Europa na UEFA wanaingia kwenye UEFA hata kama hawajakolifai kwenye ligi zao
EPL inaruhusiwa at maximum kupeleka timu tano kama mojawapo wa timu ni mshindi wa Europa au UEFA ambayo haukukolifai kwenye ligi. Kwa maana Chelsea ikiwa nje ya top 4 na ikabeba UEFA (ndoto za alinacha) na Wolves akabeba Europa basi ni timu tatu tu zitaungana nao kwenye UEFA mwakani ambazo ni mshindi wa kwanza hadi wa tatu na mshindi wa nne anaenda Europa akiungana na mshindi wa tano, kama Arsenal akishinda FA anaenda Europa na hivyo mshindi wa sita hatashiriki Europa kwa sababu Europa ni timu tatu tu zinatakiwa.
Ila uwe na amani,helsea kushinda UEFA itakuwa ni Comeback yake kwa Bayern itakuwa maajabu ya milenia ya tatu na ubingwa wa UEFA kwa timu tuliyonayo itakuwa maajabu ya Karne ya 21
 
Back
Top Bottom