Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Itapendeza.
Nafasi yetu ktk champions league

1.Tukushinda tunafuzu
2.Tukitoa draw tunafuzu

3.Tukifungwa;Hapa inategemea
-->kama tukifungwa alaf chelsea akashinda basi sisi tuapoteza nafasi ya champions league

-->Tukifungwa alaf chelsea akafungwa basi sisi TUNAPITA

SO; me nataka Chelsea AFUNGWE na Wolves alaf sisi tutoe DRAW na Leicester ili sisi na Leicester tungie top 4 alaf Chelsea akacheze Europa

Au wanangu mnasemaje
 
Icho kipigo tunakirudisha ngao ya jamii
Nyumbu kama Nyumbu mnajadiri utopolo
Nafasi yetu ktk champions league

1.Tukushinda tunafuzu
2.Tukitoa draw tunafuzu

3.Tukifungwa;Hapa inategemea
-->kama tukifungwa alaf chelsea akashinda basi sisi tuapoteza nafasi ya champions league

-->Tukifungwa alaf chelsea akafungwa basi sisi TUNAPITA

SO; me nataka Chelsea AFUNGWE na Wolves alaf sisi tutoe DRAW na Leicester ili sisi na Leicester tungie top 4 alaf Chelsea akacheze Europa

Au wanangu mnasemaje
Ndoto za mchana huwa inanoga kuliko ya usiku
 
Time will tell
skysports___CDEGsroI8cW___.jpeg
 
Nafasi yetu ktk champions league

1.Tukushinda tunafuzu
2.Tukitoa draw tunafuzu

3.Tukifungwa;Hapa inategemea
-->kama tukifungwa alaf chelsea akashinda basi sisi tuapoteza nafasi ya champions league

-->Tukifungwa alaf chelsea akafungwa basi sisi TUNAPITA

SO; me nataka Chelsea AFUNGWE na Wolves alaf sisi tutoe DRAW na Leicester ili sisi na Leicester tungie top 4 alaf Chelsea akacheze Europa

Au wanangu mnasemaje
Aah safi tu mbona
 
★Manchester United kwa upande wangu naonaga hawapo serious kwa kweli maana msimu ukianza team ikicheza hovyo wanasingizia hatujafanya usajiri,oh mala injuries afu dirisha la usajiri likifunguliwa wanazuga zuga kufuatilia mtu mmoja muda unaisha inapita hiyo,sasa hivi wana mtaka Kingsley Coman kwa mkopo kama wameaminia yuko poa watoe mkwanja wote wanakera hawa jamaa basi tu Wawekeze kwa wachezaji wa Maana sio hawa wakukopa kopa japo jamaa yuko Fit sidharau ila we have to do something bana hii hari wataimaliza lini daah★
 
★Manchester United are considering a move for PSG midfielder Idrissa Gueye, according to Le10Sport

#GGMU
IMG_20200725_163403_105.jpeg
 
Ole amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..RB,LB,RW,CB na striker.
 
Back
Top Bottom