DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Uliramba lolo tatu nakumbukaHao watoto mmeona walivyowagumu? Afadhali yenu mmelazimisha draw ila mlikua mlambe lolo.
Nafurahia sana matokeo haya yan mmesharidhika na Europa League.




Uliramba lolo tatu nakumbukaHao watoto mmeona walivyowagumu? Afadhali yenu mmelazimisha draw ila mlikua mlambe lolo.
Nafurahia sana matokeo haya yan mmesharidhika na Europa League.




Nyie mkitaka mpigwe tuu.
Same, there is no need for us to pray for your win.Hahaha, 58 games unbeaten at Anfield.
There is no way we are losing this game, be assured.
Same, there is no need for us to pray for your win.
It will come.
Hiyo nafasi ya 3 mmekaa kwa muda gani?hiyo game ya mwisho na Leicester city ndo patachimbika hapo afe ng'ombe au afe mmasaiLeo tunakaa rasmi nafasi ya 3.
GGMU
Huo upande wa Bissaka angecheza nani ?Game la leo lilikuwa muhimu sana kuingia top four. Hii draw imetuweka pabaya. Sasa tunategemea matokeo mabaya kwa Chelsea mechi zote mbili au kutofungwa na Leicester kitu ambacho ni kigumu kwa hali tuliyo nayo kwa viwango vya wachezaji.
Kuna wachezaji hawapaswi kuwa first 11. AWB amecheza hovyo sana mechi za karibuni hapa.
sema tumpe muda zaidi.Tumpe muda
Ilo ndo tatizo la ole huwa hanaga game plan nyingine za kum suprise mpinzani.Tuna kocha mwenye mbinu nyepesi sana kusomeka na wapinzani.... Inasikitisha sana
Pambana na hali yako kwenu hukoTatizo lenu mna chonga sana, mkabahatisha michezo michache tu ikawa kelele mpaka basi.
Sawa bwanaNasema hivi tarehe 22 lazima Cheltako walie watka wasitake tunamchakaza West ham alafu tunaisubiria game yao hawa takatakaView attachment 1511870
Hakika hamtuangushiHuu ni muda wa washabiki wa Man Utd kuiombea Liverpool ushindi.
Hatutawaangusha.


Mkuu unafurahia huku wakati kwako kumeanza kufuka moshiHao watoto mmeona walivyowagumu? Afadhali yenu mmelazimisha draw ila mlikua mlambe lolo.
Nafurahia sana matokeo haya yan mmesharidhika na Europa League.