Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa sina haja ya kubishana

Ukweli wa Man Utd ulionekana baada ya Pogba, Martial, Greenwood kuingia

Usitake kuniambia majembe yenu mnayoyaaminia ni akina Tomori, Abraham
Mwanaume hana visingizio...hukubali kuwa amezidiwa....visingizio vyanini wakati hicho kikosi alokipanga ni kocha wenu....TULIA DAWA IINGIE....UMEPIGWA za kutosha.....

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
tumeamua kujificha zaidi kwenye hoja ya uchovu uliosababishwa na mapumziko mafupi tulioyapata baada ya kucheza na crystal palace, labda ni kwa sababu ni jambo rahisi zaidi kuliongelea kuliko tactics, set up ya timu, team choice, aina ya wachezaji tulionao na style yetu ya kiuchezaji.
kwa kuweka kumbukumbu zetu kwa usahihi ni mason greenwood, pogba na martial ndio walianzia benchi kwenye mechi yetu ya jana kwa wachezaji wa kikosi cha kwanza baada ya corona.​

tukirudi nyuma Southampton kabla ya mechi yetu ndani ya siku sita walicheza na manchester city pamoja na everton na zote hizo ni team zinazocheza vizuri sana, soton hawana kikosi kipana kama sisi hivyo basi kwa kiasi kikubwa unakuta wachezaji wao wa kikosi cha kwanza wanacheza kwa dakika nyingi (lack of rotation) , kilichotokezea kwenye mechi ile wao walicheza vizuri zaidi kana kwamba wana kikosi kikubwa kutuzidi sisi.

hata kwa upande wa chelsea nao walikosa huduma ya pulisic na ngolo kante ambao wote ni wachezaji wa kikosi cha kwanza lakini bado walionekana kuwa vizuri zaidi kiuchezaji kuliko sisi,

kwa ufupi timu yetu inasumbuliwa na matatizo mawili makubwa sana ambayo hatupendi kuyazungumzia.
  • tunateseka mno tunapocheza na timu zinazojilinda (two blocks) hatupigi cross, hatuingii kwenye eneo la adui kiurahisi, rejea mechi yetu ya spurs kwa raundi ya pili na mechi zetu nyingi tulizocheza round ya kwanza ukiondoa ile ya chelsea (ile mechi walicheza kama kundi la walevi)
  • tunateseka zaidi na zaidi pindi tunapocheza na timu zinazo pressing: na hili tatizo limeendelea kuwa sugu zaidi na limeshakosa tiba na litaendelea kutusumbua, rejea mechi zetu na liverpool, manchester city, southampton (mechi zote mbili)
tofauti na manchester city (guardiola ni mwanadamu anayeishi na fikra zisizobadilika) , jana chelsea waliingia uwanjani huku wakiwa wameyafahamu fika matatizo yetu hayo mawili hivyo basi walihakikisha wanajilinda vizuri ( didn’t exploit their space ), pia wanatupa presha muda wote (kovacic ameendelea kuwa ni master wa kuzivunja timu pinzani) bila ya kusahau pressing in the final third wakiongozwa na giroud (muda mwingi alisababisha defence line yetu ivunjike)

ukicheza hivyo tu basi baadhi ya wachezaji wetu ukimuondoa nemanja matic wanakuwa clueless, panicky, lacking calmness under pressure na bahati mbaya zaidi hili tatizo hata benchi letu la ufundi nahisi wameshindwa kulifanyia kazi.

our pressing return imeendelea kuwa ni poor dhidi yao, Too often passes were misplaced, wachezaji wetu wanalose possession ovyo (wan bissaka anaongoza kulose possession and poor ball control) na hatimaye tunakosa mtego sahihi wa kuwawekea maadui (tunajificha kwenye failure counter attack)

kwa mfano
  1. mechi yetu ya mwanzo dhidi ya southampton tulilose possession mara 183 na mechi yetu ya marejeo dhidi ya hao southampton tulilose possession mara 141, ina maana benchi la ufundi walishindwa kuja na mbinu sahihi ya kuondokanwa na hilo tatizo
  2. United’s passing accuracy kipindi cha kwanza dhidi ya soton ilikuwa ni 81% lakini kipindi cha pili ilikuwa ni 71%
Swali la kujiuliza laiti kama tungelicheza na timu mfano wa cystal palace, aston villa, bournermouth na nyenginezo tungelicheza mpira ule wa jana kwa hoja ya uchovu?
sidhani
====================================
Sevilla wanatusalimia kwenye michuano ya Europa, kinyume chake tuombe watolewa na AS ROMA (tunalihitaji lile kombe)

marcelo bielsa amerudi (wengi wetu tunaikumbuka ile adhabu aliyotupatia akiwa atletico bilbao, waliokuwa hawajazaliwa kwenye soka kipindi hicho basi kamtafute iker munian, ander herrera wa siku ile na llorente).

klopp bado yupo

Southampton bado wapo na mjerumani

arteta msingi wake umeshaanza kukaza nadhani tumeiona pressing na rebuilding ya arsenal mechi za karibuni (goli la juzi waligusa mpira takribani mara 30)

tuendelee kujificha kwenye mfumo wa 3-4-3 au 3-5-2 huku tukiendelea kulipuuzia tatizo kubwa zaidi.
GGMU
===================
Hii ni nondo yenye ujazo
 
Kabisa aisee, ndiyo maana hata ligi inakuwa ngumu kwa sababu timu ndogo zinaweza kufanya usajili wa akili zikasumbua wakubwa.

Report ya 2017/2018, timu ya mwisho EPL ilipata £94.6m (West Brom) wakati bingwa wa UEFA alipata €88.6m ambayo ni around £75m.

Unaona hapo gap lilivyo kuwa kubwa hapo vs UEFA.
  1. team zote zina equal share jambo linalopelekea kila timu ivune gawio sawa na msimu wa 2018/2019 kila team ilipata paundi millioni 80
  2. utofauti wa mapato hujitokeza pale wanapoangalia nguvu ya timu kimatokeo ( merit payments) ambapo mshindi wa kwanza anapata zaidi ya mshindi wa pili na wengineo. Msimu uliopita man city walipata paundi millioni 38 za kubeba ubingwa huku liverpool walipata paundi millioni 36 kwa kushika nafasi ya pili
  3. halafu nadhani wanaangalia team ambayo itakayoonyeshwa zaidi mechi zake moja kwa moja (live match), hapa mara nyingi team yenye ushawishi mkubwa ndio huvuna zaidi pasina kuangalia matokeo husika ya team hiyo, msimu uliopita mechi za liverpool zilionyeshwa live mara 29 huku man city mechi zao zikionyeshwa live mara 26 (city hatimaye walivuna paundi millioni 30 na liverpool walivuna paundi millioni 33, cha ajabu zaidi man utd walioshika nafasi ya sita walivuna paundi millioni 31, inamaana man utd amemzidi bingwa man city)
  4. ukipiga hesabu jumla ya mapato ya msimu unakuta liverpool amemzidi man city kwa tofauti ya paundi millioni 1 (152 millioni vs 151 millioni kwa mujibu wa msimu uliopita)
mapato ya televisheni na dividend kwa shareholder ndio yanayowapa jeuri vilabu vya uingereza kwenye soko la usajili na mishahara kwa sababu vina uhakika wa kupata fedha nyingi.
======================
kwa mujibu wa the guardian:

  • msimu wa 2017/2018 vilabu 20 vya uingereza vilijikusanyia mapato yanayofikia paundi billioni 4.8 na gharama za mishahara ilikuwa ni paundi billioni 2.4
  • ukija la liga vilabu vya 42 (la liga 1 and 2) kwa pamoja vilijikusanyia mapato yanayofikia paundi billioni 4.48.
  • ukija ujerumani vilabu 36 (bundesliga 1 and 2) vilijikusanyia mapato yanayofikia paundi billioni 4.42
=========================================
kabla ya mabadiliko ya msimu wa 2014/ 2015 hali ilikuwa hivi nchini spain ni mwendo wa 38% au zaidi kwa wababe wakubwa
1595253152922.png

1595253248894.png

===========================
baada ya mabadiliko hali imekuwa hivi kwa misimu miwili iliopita hao wababe wawili mgawanyo umepungua kwa 23% ukilinganisha na mwanzoni
1595253701177.png

  1. la liga team ya mwanzo msimu uliopita kimapato ambayo ni barcelona imekusanya euro millioni 166 na team ya mwisho imepata euro millioni 44
  2. uingereza team ya mwanzo msimu uliopita kimapato ambayo ni liverpool walikusanya euro €180m ($200m) na team ya mwisho ambayo ni Huddersfield walipata euro €114m ($127m)
 
Chelsea wametufunga easy goals sana jana..
tokea ligi irudi tumekuwa tukiruhusu magoli mepesi zaidi kufungwa
  1. mechi ya spurs beki walitegeana wakiongozwa na maguire halafu degea akashindwa kupunch mpira kwa nguvu
  2. mechi ya bournermouth maguire alipigwa chenga ya kifala ndani ya box, degea akashindwa kuziba nguzo ya goli.............goli la pili refa alisema bailly amenawa mpira ndani ya box
  3. mechi ya southampton walitufanyia higher pressing hatimaye pogba akapoteza mpira
  4. mechi ya jana hayasemeki (giroud na uzito wake anauwahi mpira wa krosi dhidi ya lindeloff, degea anajichanganya)
 
Kumbe EPL anakula mpunga mrefu ivyo!! Kwanin sasa mkuu...me nnanvyojua UEFA ndo ina mpunga mrefu then epl afu FA ndo ije europa na mengineyoo..au!!!
Uefa ndo inampunga mrefu ukichanganya na bonus za kushinda kila mechi na kama umeingia hatua nyingine kuna bonus pia

Na katk makombe ambayo hana fedha ni FA na EFL bora hata Europa inapesa kuliko hayo makombe ndani
 
Ule ni uzembe.

Alilegeza mguu mpira ukamgonga ukaingia.

Angekuwa Baily kusingekuwa na uzembe wa aina ile.

Maguire anafanya makosa ya wazi kabisa.
Muongezee mshiko kama De Gea si ninyi matajiri?
 
Nasema hivi tarehe 22 lazima Cheltako walie watka wasitake tunamchakaza West ham alafu tunaisubiria game yao hawa takataka
Screenshot_20200720-171814.jpg
 
tumeamua kujificha zaidi kwenye hoja ya uchovu uliosababishwa na mapumziko mafupi tulioyapata baada ya kucheza na crystal palace, labda ni kwa sababu ni jambo rahisi zaidi kuliongelea kuliko tactics, set up ya timu, team choice, aina ya wachezaji tulionao na style yetu ya kiuchezaji.
kwa kuweka kumbukumbu zetu kwa usahihi ni mason greenwood, pogba na martial ndio walianzia benchi kwenye mechi yetu ya jana kwa wachezaji wa kikosi cha kwanza baada ya corona.​

tukirudi nyuma Southampton kabla ya mechi yetu ndani ya siku sita walicheza na manchester city pamoja na everton na zote hizo ni team zinazocheza vizuri sana, soton hawana kikosi kipana kama sisi hivyo basi kwa kiasi kikubwa unakuta wachezaji wao wa kikosi cha kwanza wanacheza kwa dakika nyingi (lack of rotation) , kilichotokezea kwenye mechi ile wao walicheza vizuri zaidi kana kwamba wana kikosi kikubwa kutuzidi sisi.

hata kwa upande wa chelsea nao walikosa huduma ya pulisic na ngolo kante ambao wote ni wachezaji wa kikosi cha kwanza lakini bado walionekana kuwa vizuri zaidi kiuchezaji kuliko sisi,

kwa ufupi timu yetu inasumbuliwa na matatizo mawili makubwa sana ambayo hatupendi kuyazungumzia.
  • tunateseka mno tunapocheza na timu zinazojilinda (two blocks) hatupigi cross, hatuingii kwenye eneo la adui kiurahisi, rejea mechi yetu ya spurs kwa raundi ya pili na mechi zetu nyingi tulizocheza round ya kwanza ukiondoa ile ya chelsea (ile mechi walicheza kama kundi la walevi)
  • tunateseka zaidi na zaidi pindi tunapocheza na timu zinazo pressing: na hili tatizo limeendelea kuwa sugu zaidi na limeshakosa tiba na litaendelea kutusumbua, rejea mechi zetu na liverpool, manchester city, southampton (mechi zote mbili)
tofauti na manchester city (guardiola ni mwanadamu anayeishi na fikra zisizobadilika) , jana chelsea waliingia uwanjani huku wakiwa wameyafahamu fika matatizo yetu hayo mawili hivyo basi walihakikisha wanajilinda vizuri ( didn’t exploit their space ), pia wanatupa presha muda wote (kovacic ameendelea kuwa ni master wa kuzivunja timu pinzani) bila ya kusahau pressing in the final third wakiongozwa na giroud (muda mwingi alisababisha defence line yetu ivunjike)

ukicheza hivyo tu basi baadhi ya wachezaji wetu ukimuondoa nemanja matic wanakuwa clueless, panicky, lacking calmness under pressure na bahati mbaya zaidi hili tatizo hata benchi letu la ufundi nahisi wameshindwa kulifanyia kazi.

our pressing return imeendelea kuwa ni poor dhidi yao, Too often passes were misplaced, wachezaji wetu wanalose possession ovyo (wan bissaka anaongoza kulose possession and poor ball control) na hatimaye tunakosa mtego sahihi wa kuwawekea maadui (tunajificha kwenye failure counter attack)

kwa mfano
  1. mechi yetu ya mwanzo dhidi ya southampton tulilose possession mara 183 na mechi yetu ya marejeo dhidi ya hao southampton tulilose possession mara 141, ina maana benchi la ufundi walishindwa kuja na mbinu sahihi ya kuondokanwa na hilo tatizo
  2. United’s passing accuracy kipindi cha kwanza dhidi ya soton ilikuwa ni 81% lakini kipindi cha pili ilikuwa ni 71%
Swali la kujiuliza laiti kama tungelicheza na timu mfano wa cystal palace, aston villa, bournermouth na nyenginezo tungelicheza mpira ule wa jana kwa hoja ya uchovu?
sidhani
====================================
Sevilla wanatusalimia kwenye michuano ya Europa, kinyume chake tuombe watolewa na AS ROMA (tunalihitaji lile kombe)

marcelo bielsa amerudi (wengi wetu tunaikumbuka ile adhabu aliyotupatia akiwa atletico bilbao, waliokuwa hawajazaliwa kwenye soka kipindi hicho basi kamtafute iker munian, ander herrera wa siku ile na llorente).

klopp bado yupo

Southampton bado wapo na mjerumani

arteta msingi wake umeshaanza kukaza nadhani tumeiona pressing na rebuilding ya arsenal mechi za karibuni (goli la juzi waligusa mpira takribani mara 30)

tuendelee kujificha kwenye mfumo wa 3-4-3 au 3-5-2 huku tukiendelea kulipuuzia tatizo kubwa zaidi.
GGMU
===================
Umeniongezea upeo wa kufikiri kuhusu hii timu.

Nakuunga hoja, nafikiri uchovu si sababu pekee ya sisi kufungwa jana.

Na pia kuna mahali nimesoma OLE akikiri kubugi kwenye team setup.

Hili swala la opposition pressing, ni gumu maana pengine baadhi ya wachezaji tulionao wanaturudisha nyuma.
De gea - poor ball distribution.
Maguire - anachelewa kurelease mpira.
AWB- poor on ball.
Matic - naona kama sio press resistant kivile.
Pogba- yuko slow( center of gravity)
Fred- hana pass za uhakika, ni rahisi kunyang'anywa mpira.

Au hatuna coaches wa kufundisha hiku kitu

Against low blocks,
Ukipata RW creative, CM creative, na Attacking FB, hili litapungua ama kuisha kabisa.

Haya yote yataenda poa kama coaching itakuwa nzuri,
Mfano mara nyingi huwa wana cheza slow sana. Mi naona inasababisha adui ajipange. Kwnn isiwe Quick passing, one touch.

Kama vipi atafutwe coach mwenye uwezo wakufundisha mambo hayo.

Naombea huko Europa, tusonge nusu fainali tukutane na Sevilla, tuone njinsi team itakavyocheza.
 
Back
Top Bottom