Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford
Screenshot_20200715_115813_com.instagram.android.jpeg
 
KUMBE BRUNO NI CHAGUO LA RONALDO





OLE Gunnar Solskjaer amekiri kuwa amezingatia ushauri wa Cristiano Ronaldo kwenye usajili wa kiungo fundi wa mpira, Bruno Fernandes.
Kocha huyo wa Manchester United, Solskjaer amenasa huduma ya Fernandes kwenye dirisha la Januari na tangu alipotua kwenye kikosi hicho cha Old Trafford amekuwa moto na kubadili kila kitu.
Staa huyo amekuwa mchezaji muhimu kwa Man United ndani na nje ya uwanja, wakati huu wakifukuzia nafasi kwenye Top Four ili kukamatia tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao, wakibakiza mechi tatu tu kwenye Ligi Kuu England kufahamu hatima yao.
Wakati mabosi wa benchi la ufundi la Man United wakimjadili kiungo huyo, Solskjaer alisema kumtazama Fernandes pekee yake haikutosha kufahamu ubora wa mchezaji huyo, hivyo alimtumia Ronaldo kwa ushauri kabla ya kumsajili dirisha la Januari.
“Tulikuwa na maskauti wetu makuu waliomfuatilia, tulimfanyia uchambuzi yakinifu na kujiridhisha kwa kila kitu. Lakini, kumwona pekee yake haikutosha kufahamu ubora wa kipaji chake,” alisema Solskjaer.
“Hapo tukawa tunahitaji kuuliza wachezaji wenzake, pengine wale waliopata nafasi ya kucheza naye kwenye timu ya taifa, hapo ikawa rahisi kwangu kuzungumza na Cristiano. Niliwasiliana na Patrice Evra, nikawasiliana na Cristiano na kutoa mapendekezo yao ya kumsajili Fernandes katika namna nzuri.”
Ubora wa Fernandes tangu atue Man United umekuwa moto, akihusika kwenye mabao kibao kwa maana ya kufunga na kuasisti. Lakini, kocha Solskjaer amemsifu kutokana na namna alivyozoea kwa haraka mazingira na utamaduni wa Old Trafford.
“Jamaa ana kipaji, hakika. Unaona kabisa ubora wake na kwamba amekuwa akilifanya hilo kwa mwendelezo,” alisema kocha huyo wa Man United na kuongeza. “Anapiga krosi, anapiga asisti, anafunga na anapiga penalti. Anafanya kila kitu ndani ya muda mchache tu.”
 
Mkishinda game yenu na Palace, Wolve wanakuwa rasmi out of top 4 race, watabaki kupambania Europa
Nyie mtakuwa mmejihakikishia na. 5 hata mambo mengine yakienda kombo
 
Man United fixtures
Cristal Palace, West Ham & Leicester

Chelsea fixtures
Liverpool & Wolves

Leicester fixtures
Sheffield United, Tottenham & Man Utd

Kama wewe ungechagua fixtures gani? Mbio za top 3 & 4 zinazidi kuwa tamu
 
Man United fixtures
Cristal Palace, West Ham & Leicester

Chelsea fixtures
Liverpool & Wolves

Leicester fixtures
Sheffield United, Tottenham & Man Utd

Kama wewe ungechagua fixtures gani? Mbio za top 3 & 4 zinazidi kuwa tamu
Cheltako wataisoma namba
 


Na sidhani kama Liver watacheza utopolo tena, maana kila mtu anawasema vibaya, watarudi kwa hasira

Wolves wanaitaka Europa League kwa nguvu zote

Leicester nawaonea huruma, wana very poor form, karibu back 4 yao yote na Madison probably hawatamalizia mechi zilizobaki (Soyuncu red card, Ricardo Pereira, Chillwel, Albrighton wana injury) mbaya zaidi wana fixtures ngumu sana

Man United ashinde mechi zake kwa kweli, zote ni winnable

Cheltako wataisoma namba
 
Man United fixtures
Cristal Palace, West Ham & Leicester

Chelsea fixtures
Liverpool & Wolves

Leicester fixtures
Sheffield United, Tottenham & Man Utd

Kama wewe ungechagua fixtures gani? Mbio za top 3 & 4 zinazidi kuwa tamu
Hapo kwa Chelshit tuhesabie wolves tu cz liverfool atamwachia hyo game, infact Man u atamaliza wa 3 na Chelshit itamaliza ya 4, hyo Leicester itabd ikapambane kombe la saizi yake co kwenda kugawa pointi ucl.
 
Man United fixtures
Cristal Palace, West Ham & Leicester

Chelsea fixtures
Liverpool & Wolves

Leicester fixtures
Sheffield United, Tottenham & Man Utd

Kama wewe ungechagua fixtures gani? Mbio za top 3 & 4 zinazidi kuwa tamu
Chelsea kwenye hiyo fixture yake on paper naona ana uwezo wa kupata point 2-3 na sio zaidi ya hapo..lakini kwenye mpira maajabu hayaishi

Leicester ngoma ngumu hiyo

United fixture iko poa..uwezo wa kushinda zote upo..
 
Mkishinda game yenu na Palace, Wolve wanakuwa rasmi out of top 4 race, watabaki kupambania Europa
Nyie mtakuwa mmejihakikishia na. 5 hata mambo mengine yakienda kombo
Dogo usitupangie sisi tunamaliza ligi nafasi ya tatu mtake msitake.

Wewe na Leceister mtagombania hiyo nafasi ya nne na tano.
 
Mkuu kwa Leicester huoni maajabu ya mpira
Chelsea kwenye hiyo fixture yake on paper naona ana uwezo wa kupata point 2-3 na sio zaidi ya hapo..lakini kwenye mpira maajabu hayaishi

Leicester ngoma ngumu hiyo

United fixture iko poa..uwezo wa kushinda zote upo..
 
Back
Top Bottom