lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,363
- 25,458
Kuna tetesi kutoka Anfield kwamba Klopp kaamua kuwa atawapa nafasi wachezaji ambao wamepata muda finyu kwenye mechi za ligi. Kama ni hivyo, tutegemee academy wengi kupewa nafasi siku hiyo na hii itakuwa ni blow kubwa sana kwenue kwani mkakati wenu sasa uwe ni kuwapiku LFC kwenye nafasi ya nne, au msipoangalia mtabakia hapo hapo na Greenwood, Bruno wenu


tutapambana★

Gary Neville